ni hateriii sana watu wanajitangaza waziwazi hadharani kwamba wanatumika
yaaani ngono imekua kwa haki ya juu sana...watu hawamuogopi mwenyezimungu tena wala hawana moyo wa wa aibu ni nyakati za mwisho hakika
hili jambo sijawah kuliona nimeliona leo hii
KikulachoChako ulipita hapa kweli leo
watu wanatangaza hadharani kwamba anatumika vipi yaani