Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Muwaha wanaume hawaanzi maneno "sasa untaka tuanze kuweka uongo na unafiki wa huko Chadema hapa?" Wanaume wanaanika tu huo uongo kama alivyofanya mleta thread. Wewe anika tu kama upo.- Sasa Bro hawa ni waongo na wanafiki kuliko huko Chadema? Are you serious au unafurahisha genge tu, sasa untaka tuanze kuweka uongo na unafiki wa huko Chadema hapa? Please!!
Es!