Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Nauliza tu ,kutokana na habari za kuaminka kabisa ,CCM haitakiwi tena Zanzibar na ukiangalia huku Tanganyika nako imepoteza umaarufu na wananchi wanaihama na kuhamia vyama vingine.
Sasa ikiwa haitakiwi Zanzibar haitakiwi Tanganyika ,jamani CCM iende wapi ?
Sasa ikiwa haitakiwi Zanzibar haitakiwi Tanganyika ,jamani CCM iende wapi ?