Jamani BIHALAMULO

Mgonasipapune

Member
Joined
Jan 10, 2011
Posts
63
Reaction score
14
Wadau kwa anayepafahamu vizuri wilaya ya Bihalamulo anipe walau picha pakoje..mie sipafahamu na natakiwa kwenda kuanzisha maisha huko..msaada plz.
 
Wadau kwa anayepafahamu vizuri wilaya ya Bihalamulo anipe walau picha pakoje..mie sipafahamu na natakiwa kwenda kuanzisha maisha huko..msaada plz.

We nenda, mbinu za mapambano hupatikana katika uwanja wa mapambano!
 
Biharamulo ni sehemu nzuri, pametulia......uki-settle.....na ukiwa mjasiriliamali waweza fanya vema sana kimaisha.....
 
Mkuu, kila la heri. Ni pazuri tu na ukipazoea mambo yatanyooka na unaweza kugoma kuhama.
 
pori la biharamulo unaweza ukaimbishwa nyimbo bila nguo kuwa makini mkuu
 
Fursa ni nyingi kutoka ni rahisi.Bg up.Wlaya zote za mkoa wa Kagera zko blessed.Shahidi ni Kanali Massawe.We unadhani anaweza kutamani kurudi kishumudu?NO.C wengne tunajuta kuanzia maisha huku.karbu kwenye Matoke mkuu.
 
Pako poa na wa2 wake ni wakarimu wanaitwa "wasubi" well_come & hav a seat,.! I hope u'll feel @ home,me ndo motherland,.!
 
Ni pazuri sana kwa kweli nenda usiwe na wasiwasi
 
Pazuri sana ,kuna shule nzuri hari ya hewa safi, watu wacheshi na mihogo ya kutosha.

wanasalimiana hivi

1. Sura waitu
2. Unajibu-- Sura
 
Ni pazuri sana na mji unaendelea kujengwa.Kimaisha ukiwa umbunifu utatoka sanaaaaa.Ni wewe tu.Nilikuwepo Dece 2012 watu wanaendela vizuri sana.Wewe nenda maisha popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…