wangewange Senior Member Joined Oct 4, 2013 Posts 189 Reaction score 43 Dec 1, 2017 #1 Jaman habar zenu wakuu...ndugu yenu hapa natumia asus toop lakin imeshapasuka display ...na nahtaji display mpya kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza kuipata hyo lcd display anisaidie kwakweli . Napatkana dar es salam. Attachments 20171201_030723.jpg 46 KB · Views: 53 20171201_030713.jpg 46.5 KB · Views: 61 20171201_030640.jpg 52.9 KB · Views: 60
Jaman habar zenu wakuu...ndugu yenu hapa natumia asus toop lakin imeshapasuka display ...na nahtaji display mpya kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza kuipata hyo lcd display anisaidie kwakweli . Napatkana dar es salam.
Ngosha255 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2013 Posts 430 Reaction score 512 Dec 1, 2017 #2 Tafuta kuna mtu humu anaitwa Mwl RCT akuagizie kutoka ng'ambo maana kwa bongo hizo kuzipata sizani!