Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Dah!huyo lzm atakuwa mgonjwa,
Bange bila kula mbaya sana lol!
Bange bila kula mbaya sana lol!
Dah,naona mnasalimiana wenyewe humu,Mie mzima kbs SALOK,japo kauchovu kidogo si unajua cha asubuhi!!!Yaani nyie siku mbili tu za JF-OFFLINE zimewachanganya hata kusalimiana imekuwa shida? haya wewe BAGAH, Nicas Mtei, na BADILI TABIA! Habari za kula ya lazima? na we mamaa vivian umemmisije BAGAH? but all in all HUYO JAMAA ANASTAHIKI BAN KUBWA YA MVUA NYINGI SANA SEGEREA! AMETHUBUTU KUNAJISI KITOWEO CHA SIKUKUU!? NIPENI UHAKIMU WA MUDA JAMANI NIMSHUGHULIKIE, KHAA??
Am missing u shem wangu Nicas Mtei,nimemwona naona kijana umefurahii kumwona kichuna wako karudi.. Leo kaja kvngne
Yaani nyie siku mbili tu za JF-OFFLINE zimewachanganya hata kusalimiana imekuwa shida? haya wewe BAGAH, Nicas Mtei, na BADILI TABIA! Habari za kula ya lazima? na we mamaa vivian umemmisije BAGAH? but all in all [COLOR=8000080]HUYO JAMAA ANASTAHIKI BAN KUBWA YA MVUA NYINGI SANA SEGEREA! AMETHUBUTU KUNAJISI KITOWEO CHA SIKUKUU!? NIPENI UHAKIMU WA MUDA JAMANI NIMSHUGHULIKIE, KHAA?? [/COLOR]
Am missing u shem wangu Nicas Mtei,
usalama upo!!
Am happy to c u here shem,Nakumiss pia shem wangu. Usalama upo kduchu. Nimestaajabu kuckia dume limembato mboga.
Hata mie nahic ivo ivo alafu mambo haya lini?
Am happy to c u here shem,
Huyo jamaa lzm alivuta bange bila kula!!
Ila nahisi ana kibamia ambacho wadada wanakikataa na kinamtosha bata,
Think, think shem yan lzm ni kibamia!!!
Hapa nami nimetoka kapa,ngoja tusubiri wahusika watupatie jibu maana!Nahc kuna vocabulary mpya zmeshanipta hapa ulmwenguni. Hvi nini maana ya Ku malima? Naombeni jawabu vivian, SALOK, BAGAH, Judgement Cantalisia, na wengne wanaoijua.
it begins with you. Kwani wewe huwa unakataa vibamia? Teh.
Hapa nami nimetoka kapa,ngoja tusubiri wahusika watupatie jibu maana!
Hahahah hahhha hahha,
Shem wangu kibamia mbona sio tatizo,ishu ufundi tu shem upo?
Khaaaaaaaa!sumbua masaburi hayo. Oops sorry shem. I meant sumbua ubongo huo ili upate jawabu.
Heee hee heee!mi mgeni. Inawezekana jamaa hakuwa na maufundi?