Jaman wanaume tunaelekea wapi? Kweli n kizaz cha nyoka

Jaman wanaume tunaelekea wapi? Kweli n kizaz cha nyoka

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,258
Reaction score
13,367
Nmefkiria sana nmekosa jibu na namuonea sana huruma huyu jamaa..... Leo mida ya mchana nikawa nmetoka kazn nikapitia dukan kwa jamaa yang yeye anaasili ya kiarabu bas baada ya kununua mahtaji yang nikataka kuondoka lakn jamaa akaniomba nimsubir awahudumie wateja anashda anataka tuongee nikakubali kumsubir baadae akamwita msaidiz wake ili amshkie kwa mda biashara yake bas jamaa akaniita ndan tukakaa mara akaanza kuniambia anashda sana anataka nimsodom {nimgegede kwa nyuma} anasema hawez kusex na mwanamke bila kubustiwa kwanza yeye nyuma.....anasema akigegedwa yeye ndo mashne yake inakuwa na nguvu yakuweza kufanya na mke wake. Nilipgwa butwaa kwamda nikataka kutoka nduki lakn kwavile nilikuwa ndan ya uniform ikabid nitoke kistaarabu sijamjibu chochote zaid ya kusönoneka moyon. Nimejiuliza sana kuwa ni ushirikina au ni usenge wake tu? Hv nikwel mwanaume unashndwa kufanya tendo na mkewako mpaka na ww ufanywe kwanza? Hv hii hali inatokana na nn? Utajiitaje mwanaume wakat na ww unapumuliwa mgogoni? Nimemshushia thaman yote ya uanaume..... Nimeskitika sana sisi wanaume wapi tunaelekea??...
 
Kaka pesa za ndagu hizo, wewe usione watu wana maduka na magari mazuri mjini ukafikili eti wote wapo salama, ni asilimia ndogo sana ambayo wapo salama
 
Ungemtia hata chupa ya soda!
Mi.nge.se inasumbua sana siku hizi!
Sjui kwa nini tindikali hazitumiki hapa!!!
 
Kaka pesa za ndagu hizo, wewe usione watu wana maduka na magari mazuri mjini ukafikili eti wote wapo salama, ni asilimia ndogo sana ambayo wapo salama

kweli mkuu nimeamin mpaka sasa nmeishiwa poz nahsi ananiletea nuksi bure
 
Mijitu kaa hiyo mbona ni mingi tu! Yaan haliez chochote kwa mkewe mpaka likung'utiwe!
 
Asee!! Pole
Nilishawahi kukutwa na huo mkasa
Zamani kidogo kama 4years ago! Nilikua na jamaa zangu tumekaa pale javaz slipway! Tunakunywa na kucheka wenyew nilikaa upande ambao nilikua kila nikiinua sura nakutana na mzee meza ya pemben tunaangaliana,,nikajua kawaida kumbe zee limenipenda maskin ya shetani lake mwee,, kuna mda nilienda washroom akaja tukapishana mlangoni!!kumpa shikamo likaitikia na kuniambia embu ngoja mwanangu!akatoa walet katoa na kuhesabu laki moja na sabini,,akaniambia nakuzawadia hii ukinipiga pampu ata 20 nikaonane na mama ako !!
I was shocked ,,,pombe ikakataa nikamjibu tu siwez!!daaaah kwel nikaamini duniani kuna mambo!!
 
daah aisee dunia inakwenda pabaya ndugu zangu.tumuombe Mungu ndugu zangu
 
Asee!! Pole
Nilishawahi kukutwa na huo mkasa
Zamani kidogo kama 4years ago! Nilikua na jamaa zangu tumekaa pale javaz slipway! Tunakunywa na kucheka wenyew nilikaa upande ambao nilikua kila nikiinua sura nakutana na mzee meza ya pemben tunaangaliana,,nikajua kawaida kumbe zee limenipenda maskin ya shetani lake mwee,, kuna mda nilienda washroom akaja tukapishana mlangoni!!kumpa shikamo likaitikia na kuniambia embu ngoja mwanangu!akatoa walet katoa na kuhesabu laki moja na sabini,,akaniambia nakuzawadia hii ukinipiga pampu ata 20 nikaonane na mama ako !!
I was shocked ,,,pombe ikakataa nikamjibu tu siwez!!daaaah kwel nikaamini duniani kuna mambo!!

hehehe...ababa yamekukuta
 
haya mambo yako mijini tuuuu!!!
sisi kwetu huku vijijini tuko salama kwa kiasi kikubwa!!
 
mfanyie ukuwadi, unaweza ukawa unapata 'shopping' ya bure na ukaelekea 'motoni' kama upo lakini!!!!
 
Kwani watu kama hao hawawez kupata tiba hospitalini au hata miti shamba?.
 
mhhhh makubwa lakini kwa mjini mbona nikawaida sana tuu hapo sasa angekutana na kijana ambaye kichwani hamnazo na ni muumini na mteja wa kampuni ya TIGO mbona haulizi mara 2 yaani hata hajamalizia keshamkunja zamani tuuu.
ndio maana mamikosi na nuksi za ajabu ajabu haziishi .mtu anatafuta hera usiku kucha na mafanikio haupati coz unakuwa umezungukwa na nimuumini wa shetani sana.baraka itatoka wapi
 
mhhhh makubwa lakini kwa mjini mbona nikawaida sana tuu hapo sasa angekutana na kijana ambaye kichwani hamnazo na ni muumini na mteja wa kampuni ya TIGO mbona haulizi mara 2 yaani hata hajamalizia keshamkunja zamani tuuu.
ndio maana mamikosi na nuksi za ajabu ajabu haziishi .mtu anatafuta hera usiku kucha na mafanikio haupati coz unakuwa umezungukwa na nimuumini wa shetani sana.baraka itatoka wapi

bora ingetungwa sheria ya kuwapote wote watu wa namna hyo mijitu mingne sio rizik kabisa
 
Aisee! Pole sana! Hata mimi yalinikuta hayo! Tena kutoka kwa kiongozi mmoja wa wanakondoo! Wa hekalu moja pale msasani! Akaniambia eti tukimaliza ataomba nisamehewe madhambi yote!!

Nikamtoa baruti! Tena nikamwambia akija tena nitamtangaza!.
Wana laana hawa!
 
Huyo rafiki yako atakuwa ni shoga tu...hilo suala la ku-boost katumia kama excuse tu.
 
Back
Top Bottom