asante kwa ufafanuzi mkuu!Yah!mm ni mkazi wa dom juzi nilienda administration block pale chuo wakanambia soon either ijumaa AMA juma3 watatoa kwani wao udom wasubir tcu ikamilishe selection hapo tarehe 23 then waweze kutoa majina yote kwa pa1 kwenye second batch wakasema cha muhimu wewe kama wewe Sasa ni kufuatili kwa waliopata forms kwa kozi uliyochaguliwa kujua gharama za direct cost,bima na UDOSO ilikujipanga kiuchumi kuliko kusubir batch kutoka halafu ndio umshtukize mzazi...So mcwe na hofu ni subira tuuu so soon watatoa #tusipanic
Yah!mm ni mkazi wa dom juzi nilienda administration block pale chuo wakanambia soon either ijumaa AMA juma3 watatoa kwani wao udom wasubir tcu ikamilishe selection hapo tarehe 23 then waweze kutoa majina yote kwa pa1 kwenye second batch wakasema cha muhimu wewe kama wewe Sasa ni kufuatili kwa waliopata forms kwa kozi uliyochaguliwa kujua gharama za direct cost,bima na UDOSO ilikujipanga kiuchumi kuliko kusubir batch kutoka halafu ndio umshtukize mzazi...So mcwe na hofu ni subira tuuu so soon watatoa #tusipanic
Yah!mm ni mkazi wa dom juzi nilienda administration block pale chuo wakanambia soon either ijumaa AMA juma3 watatoa kwani wao udom wasubir tcu ikamilishe selection hapo tarehe 23 then waweze kutoa majina yote kwa pa1 kwenye second batch wakasema cha muhimu wewe kama wewe Sasa ni kufuatili kwa waliopata forms kwa kozi uliyochaguliwa kujua gharama za direct cost,bima na UDOSO ilikujipanga kiuchumi kuliko kusubir batch kutoka halafu ndio umshtukize mzazi...So mcwe na hofu ni subira tuuu so soon watatoa #tusipanic
sasa wakuu inamaana nasi hy tarehe 31 tutaenda uko chuo???
wale wa udom 2nd batch majina yametoka tupia jina na course yako nikupe updates