Habar zenu wana Jf,
Naamini mko salama na wengi sasa mshalala,
Mimi ni mgeni wa kuleta uzi humu ndani kwani huwa nasomaga tu.Kiukwel mim nilikuwa na mtu wangu kama mwaka hivi na tulishindwana kwani alinipiga kwa kosa la kutopokea sim na tabia yake ya umariooo kwani hajui bei ya hotel wala chochote zaidi ni kuniambia bby nimefulia leo nitoe. Baada ya kumchoka na tabia zake za umarioo nikamwambia kwa hizi tabia zako hizi naomba tuachane kwa amani kwani sion future,siku nikimpa wazo la biashara ili tuongeze kipato wala hajishughulishi nalo japo mimi na yeye ni waajiriwa.
Kiukweli nilimchoka sana na tabia zake za kuja kulala kwangu kila ajiskiapo.Kiulweli mimi licha ya ajira yangu niliongeza kitega uchumi na maisha yakaenda nilijitahi japo ya nyumba yangu ya kupanga nikafunga kiyoyozi maana hili joto la Dar si mchezo.Baada ya kufunga kiyoyozi mwanaume akadai nahongwa na mwanaume mwingine but ukweli ni kwamba mimi nilimweka wazi income yangu yote pamoja na matumizi kiukweli huwa nasave to the maximum.
Akaamua kunichuhuza na kichukua simu yangu aka kaa nayo siku tatu ili ajue kama nin mpango kando,but hakuambulia chochote sasa alipoirudisha simu nikamwambie aniache niendelee kusaka maisha badala ya magomvi na mimi sipendi ugomvi alikataa kuwa hawezi kuniacha.Lakini baada ya mabishano akapunguza mawasilino na akaanza kuwepa profile yake picha na mwanamke ambaya niliwahi kumhisi yuko naye nilivoona hiyo picha wala sikumuuliza siku ya siku kanipigia simu oooh! bby leo nimefulia nitoe mwisho wa mwezi natudisha basi kiubinadam tu nikamtumia kias cha pesa kwenye simu yake.
Ilivofika mwisho wa mwezi wa pili nikampigia kumuuliza vipi rejesho langu? Kabla sijauliza vile nikakutana na sauti ya kabintibnikamsalimia vizuri tu na nikamwambia naomba kuongea na mwenye simu alikataa na kudai yeye ndio mwenyesimu nilijaribu sana kumsihi anipe niongee na mwenye simu akanikatalia kiikweli nilikasirika nikamwambia "acha ushamba"naomba kuongea na mwenye simu maana hii dunia sio kipindi cha kugombana na mwanamke mwezio ni kuongea tu kistaarabu na kieleweshana Lool, acha bidada maneno yamtoke kama chiriku na matusi ni mengi sana na alitumia namba ya huyu x-wangu huyo kunitukana kwa sms.
Mimi sikufuta sms hata moja na sikumtukana kabisa zaidi nilimwambia natamani ungetumia maneno kuliko hizi sms,
kweli niliumia kwa matusi ya mwanamke mwenzangu na "nikaamua ile namba ya x-iliyotumika kunitukana niikatie R&B ili huyo x akamatwe na polisi ili afanyiwe mahojiano kwanini simu yake itumike kunitukana mimi.Kiukweli nataka waumie kama nilivoumia mimi na iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hii Iove jamani,niko sahihi kumfanya hivyo maana nimepanga kuitekeleza hili wazo ndani ya week hii.
Naombeni ushauri juu ya hili wazo langu jamani.Ushauri wa busara please.`
Naamini mko salama na wengi sasa mshalala,
Mimi ni mgeni wa kuleta uzi humu ndani kwani huwa nasomaga tu.Kiukwel mim nilikuwa na mtu wangu kama mwaka hivi na tulishindwana kwani alinipiga kwa kosa la kutopokea sim na tabia yake ya umariooo kwani hajui bei ya hotel wala chochote zaidi ni kuniambia bby nimefulia leo nitoe. Baada ya kumchoka na tabia zake za umarioo nikamwambia kwa hizi tabia zako hizi naomba tuachane kwa amani kwani sion future,siku nikimpa wazo la biashara ili tuongeze kipato wala hajishughulishi nalo japo mimi na yeye ni waajiriwa.
Kiukweli nilimchoka sana na tabia zake za kuja kulala kwangu kila ajiskiapo.Kiulweli mimi licha ya ajira yangu niliongeza kitega uchumi na maisha yakaenda nilijitahi japo ya nyumba yangu ya kupanga nikafunga kiyoyozi maana hili joto la Dar si mchezo.Baada ya kufunga kiyoyozi mwanaume akadai nahongwa na mwanaume mwingine but ukweli ni kwamba mimi nilimweka wazi income yangu yote pamoja na matumizi kiukweli huwa nasave to the maximum.
Akaamua kunichuhuza na kichukua simu yangu aka kaa nayo siku tatu ili ajue kama nin mpango kando,but hakuambulia chochote sasa alipoirudisha simu nikamwambie aniache niendelee kusaka maisha badala ya magomvi na mimi sipendi ugomvi alikataa kuwa hawezi kuniacha.Lakini baada ya mabishano akapunguza mawasilino na akaanza kuwepa profile yake picha na mwanamke ambaya niliwahi kumhisi yuko naye nilivoona hiyo picha wala sikumuuliza siku ya siku kanipigia simu oooh! bby leo nimefulia nitoe mwisho wa mwezi natudisha basi kiubinadam tu nikamtumia kias cha pesa kwenye simu yake.
Ilivofika mwisho wa mwezi wa pili nikampigia kumuuliza vipi rejesho langu? Kabla sijauliza vile nikakutana na sauti ya kabintibnikamsalimia vizuri tu na nikamwambia naomba kuongea na mwenye simu alikataa na kudai yeye ndio mwenyesimu nilijaribu sana kumsihi anipe niongee na mwenye simu akanikatalia kiikweli nilikasirika nikamwambia "acha ushamba"naomba kuongea na mwenye simu maana hii dunia sio kipindi cha kugombana na mwanamke mwezio ni kuongea tu kistaarabu na kieleweshana Lool, acha bidada maneno yamtoke kama chiriku na matusi ni mengi sana na alitumia namba ya huyu x-wangu huyo kunitukana kwa sms.
Mimi sikufuta sms hata moja na sikumtukana kabisa zaidi nilimwambia natamani ungetumia maneno kuliko hizi sms,
kweli niliumia kwa matusi ya mwanamke mwenzangu na "nikaamua ile namba ya x-iliyotumika kunitukana niikatie R&B ili huyo x akamatwe na polisi ili afanyiwe mahojiano kwanini simu yake itumike kunitukana mimi.Kiukweli nataka waumie kama nilivoumia mimi na iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hii Iove jamani,niko sahihi kumfanya hivyo maana nimepanga kuitekeleza hili wazo ndani ya week hii.
Naombeni ushauri juu ya hili wazo langu jamani.Ushauri wa busara please.`