jaman mh

utakoma na huo aundishish wako, na bado wataendelea kula hiyo pusupusu mpaka ujue kuandika. Ila sahau kuolewa, yaani mwanume anayeoa mtu aliyezaa ananikera kupita meelezo, yaani kubikiri ukose na hata kuzalisha uwe wa pili? aaaah!
mkuu punguza hasira kidogo,maana nikifuta hisia za uandishi huu hakika umekasirika,doooooh
 
Huyu dada na hisi hayupo hata chuo maana uandishi huu mmh majanga,sasa sijui tutamsidia je mimi niliyepitia kayumba nimeshindwa sijui nyie wenzangu msaidie mawazo jamani.doooooh
 

Andika kisawasawa hapa unadhani unamtumia nani text hapa? na kwani ni lazima uandike kiingilishi kama kiingilishi chenyewe ni zero?
 
Huu uandishi wa hivi huwa unanichosha kwa kweli...nina imani wataalam wa shorthand wapo na watakusaidia ushauri mwayego....
 
yani umeniboa ulivyoandika.nenda hukohuko face book huku sio kwako.sijakuelewa ila mpe tu yeyote anayetaka kukugegeda ndo ushauri wangu.
 
Huu uandishi unakera sana ni uvuvu wa kuandika au haraka????

Aaaarrrrgh
 
...ngoja nivae mawani labda ntaambulia mistari angalau miwili...
 
Lugha ganiii! Alafu hawa ndo wasomi wetu!!! Andika vizuri
 

Huu uandishi wako wa ki facebook unatia kichefu chefu andika upya
 

Sijaelewa kitu...Lugha uliyotumia ni yakuzimu..
 
Umezaa? Afu unaandika hivi?
Poor kids, hawachagui wazazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…