Jaman Kukosa Ajira Huku...

Jaman Kukosa Ajira Huku...

Ms. Kadadaa jumapili

Senior Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
102
Reaction score
48
Jaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.

Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.
 
Pole sana mdogo wangu! ningekushauri uje huku shamba tulime sema nachelea hutakubari kuvumilia. Ila shamba panalipa sana kuliko kuendelea kujipa matumaini kuwa huenda utapata ajira mwaka kesho kumbe ndo uajuza unakunyemelea hivyo!
 
Pole sana mdogo wangu! ningekushauri uje huku shamba tulime sema nachelea hutakubari kuvumilia. Ila shamba panalipa sana kuliko kuendelea kujipa matumaini kuwa huenda utapata ajira mwaka kesho kumbe ndo uajuza unakunyemelea hivyo!

Mkuu uko wap? i wish nije niwe japo kibarua wako!
 
taabu ya watoto wa startimes nyie kazi haisubiriwi inatafutwa, ulipelekwa shule kwenye gari yenye kiyoyozi unasubiri upewe ofisi yenyekiyoyozi utakula jeuri yako
 
Jaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.

Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.

pole sana mkuu labda tuambie umesomea nini hapa jf watu kibao unaweza ukapewa info kuhusu taaluma yako
 
Jaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.

Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.

Kwengine kote tunafanana ila siamini sana kama kuolewa kuna mahusiano na ajira wengi wameolewa wakiwa hawana ajira na wamezipata wakiwa ndoani
 
Check na Eiyer yeye anataka mke ambaye fulltime job yake ni kulea watoto na kuwa home managing director.
 
Last edited by a moderator:
Pole tupo wengi mwenzako mie tangu 2010 sina kibarua mbaya zaidi nikaolewa cha kusikitisha kazi huna watoto huna pata picha unajiskiaje full stress
 
taabu ya watoto wa startimes nyie kazi haisubiriwi inatafutwa, ulipelekwa shule kwenye gari yenye kiyoyozi unasubiri upewe ofisi yenyekiyoyozi utakula jeuri yako

Mkuu hii avatar yako ni balaa! Dah, never seen before!!!!!!!!!!!!!1
 
Jaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.

Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.

Kama umepitia maisha ya chuo ni tatizo.Kipindi ambacho uko final year uliremba sana.Ndo kilikua kipindi muafaka cha wewe kujenga mahusiano na mume wako wa le😵na sasa ume burgy unahangaika.
Ni mtazamo tu lakini.
 
Kweeeeli pana chimbika siku hz mwanamke kuolewa had awe na kazi:baby:
 
Aliepatia ni yule aliefankisha mkuu kuna watu walifanya hivyo chuo chamoto walikiona utafkr umemchagua akusumbue kama ni mwanamke ukifanya mchezo boom looote anaondoka nalo
Kama umepitia maisha ya chuo ni tatizo.Kipindi ambacho uko final year uliremba sana.Ndo kilikua kipindi muafaka cha wewe kujenga mahusiano na mume wako wa le😵na sasa ume burgy unahangaika.
Ni mtazamo tu lakini.
 
Jaman kukosa kazi huku kunanichelewesha mambo mengi kama kuolewa, nyumba, gari na biashara hadi inaniopunguzia idadi ya watoto, heh.

Hatari kubwa sana, tokea 2011 niko mtaani.

dah pole sana mdogowangu, serikari haina pesa za kuajiri sasa, wajumbe wakatiba wanahitaji posho laki tano.
 
Back
Top Bottom