Josh Ramadhan
Member
- Nov 8, 2013
- 60
- 10
Wadau naomba kujua bei ya hiace ikiwa yard hapa tanzania ?
30M mpaka 28MWadau naomba kujua bei ya hiace ikiwa yard hapa tanzania ?
Naunga mkono hoja30M mpaka 28M
na mabasi marefu ni pesa ngapi mkuu?30M mpaka 28M
Yutong 250M mpaka 300.Marcopolo haishuki 600M. Scania kama 800M,chini ya hapo labda yale ya kwetu made in Geita...(jokes)na mabasi marefu ni pesa ngapi mkuu?
namaanisha coaster au DCM mzeeYutong 250M mpaka 300.Marcopolo haishuki 600M. Scania kama 800M,chini ya hapo labda yale ya kwetu made in Geita...(jokes)
60M mpaka 75Mnamaanisha coaster au DCM mzee
na ukimkabidhi dereva kwa siku inabidi akupe pesa ngapi? kwa HIACE na Coaster, inabidi boss akusanye pesa ngapi kwa siku?60M mpaka 75M
Piga na Gharama za kwenda kwa mgangana ukimkabidhi dereva kwa siku inabidi akupe pesa ngapi? kwa HIACE na Coaster, inabidi boss akusanye pesa ngapi kwa siku?
Kwa safari za wapi to wapi?na ukimkabidhi dereva kwa siku inabidi akupe pesa ngapi? kwa HIACE na Coaster, inabidi boss akusanye pesa ngapi kwa siku?
route kama ya mbagala na tegeta haihitaji mganga. wanakuja wenyewePiga na Gharama za kwenda kwa mganga
mbagala ubungo, kkoo mbagala, tegeta kkoo, kimara posta, mbezi postaKwa safari za wapi to wapi?
Mtafute Mshanaroute kama ya mbagala na tegeta haihitaji mganga. wanakuja wenyewe
Mimi nipo Mwanza na sijawa na uzoefu wa hesabu hzo kwa mji wa Dar.hapa Mwanza Hiace zina hesabu ya 60elfu per day town trip,Costa za kutoka nje ya mji na kurudi hesabu inaanzia laki mojambagala ubungo, kkoo mbagala, tegeta kkoo, kimara posta, mbezi posta
aisee, ila route ya mbagala ina watu wengi inaweza ikawa zaidi ya laki moja kwa siku.Mimi nipo Mwanza na sijawa na uzoefu wa hesabu hzo kwa mji wa Dar.hapa Mwanza Hiace zina hesabu ya 60elfu per day town trip,Costa za kutoka nje ya mji na kurudi hesabu inaanzia laki moja
100MJe TATA zinaendaje?
Ok nashukuru kwa majibu yako na je ukiagiza toka nje inakuaje30M mpaka 28M
Itashuka kidogo japo siyo kiviiile sana.tembelea mtandao wa be forward hapo utanaona tu mbivu na mbichiOk nashukuru kwa majibu yako na je ukiagiza toka nje inakuaje