Utakuwa SHOGA wewe.Kwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?
Sio kila jambo baya lazima ushoga uhusishwe khaah, condoms ba vilainishi vipo, sasa watu wanakwama wapi?
Utakuwa SHOGA wewe.Kwani huyo mgonjwa amesema kapata kwa shoga au mwanaume mwenzie? Au ukimwi ndo unapatikana kwa mashoga tyuuh?
Sio kila jambo baya lazima ushoga uhusishwe khaah, condoms ba vilainishi vipo, sasa watu wanakwama wapi?
NimeshangaaYaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo
Rushes ni dalili ya mwisho kabisa kinga zikiwa chiniElimu yako basic kuhusu HIV ni almost zero
Bas sjui imekuaje.labda aliukwaa mda
Serious?!Nyie ngwengwe isikieni tu mwez mmoja nyuma nmemmwaga manzi moja juzi nmekutana nae ananitambia X mbona unakonda ivo haraka we si uliona umepata kapime sasa..
Kila siku nakua hospital ila nmeshindwa kujipima mpka sasa
Usiombe yakukute na sijapima hadi leo ila woga umepotea kwa sasa nimepita muda mrefu Sina dalili yoyoteSerious?!
Tunafanana. Mimi hata mavifaa yao siyaaminigi sometimesUsiombe yakukute na sijapima hadi leo ila woga umepotea kwa sasa nimepita muda mrefu Sina dalili yoyote
Vifaa havina shida sema unapima ili iweje sasa kama upo fitTunafanana. Mimi hata mavifaa yao siyaaminigi sometimes
Hahaha hahahaVifaa havina shida sema unapima ili iweje sasa kama upo fit
Napima watu mm ntachungulia nkiona naumwaHahaha hahaha
We jamaa eti unapima ili iweje sasa!!
Kucheki kama wadudu hawajaanza kukuvamia.
Kapime chief.
Hivi Ni kweli kwamba kukifanyika katerero bila penetration ngoma haiambukiziki ?Yaani ukimwi alioushtukia wiki mbili umtoe rashes? Ni urongo
Rashes na magonjwa nyemelezi vinatakiwa kuja muda ambao kinga ya mwili imeshakua apeche alolo. Na huo muda hauwezi kua wiki mbili.
mbona ukimwi sio issue tena kwa huko kwao atatunzea vizuri na kila kitu atapewa ama free au kwa bei nafuuKuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano. Mzungu Og kabisa yaani
Kwa jinsi alivyokuwa na list ya wadada hapa mjini na Zanzibar Dah! Huyu jamaa kwa kuwala tu dada zetu hawa amewala vibaya mno na wanampenda kweli kweli wadada, siunajua waswahil wanavyochanganyikiwa na wazungu..sasa nahisi katika harakati hzo ameukwaa..yeye anasema hajui nan kampa ila mi nmemwambia atakua kautoa Zanzibar maana kule alikuwa anawacharaza vibaya mno.
Anatia huruma mwamba, analia tu, halafu bado umri mdogo tu 29 ila dah maisha haya yaani huyu jamaa ndo alikua the real definition ya malaya kuna story zingine anakuhadithia unabaki unashangaa zingine si tumeona kwenye porn mwamba hadi 4sum anapiga.
Kweli nimeamini ngwengwe asilimia kubwa watu wanaipata kwakua na multiple partners. Jamani ngoma ipo huyu mwamba ametokwa ma rush mwil mzima..kawa mwekundu dah, huruma kwakweli. Nyie wadada kuwen makini maana nyie hamuogopag ngoma nyie.
Kidimbwi keshachafua sanaaa yaani dah