Jamaa aliekataa mshahara mkubwa usa ns kurudi Tz.. anashinda tu ma award na app yake mpya

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,526
habari wadau.. najua wengi tunamkumbuka huyu jamaa alivypondwa humu kwenye uzi wa kukataa kuajiriwa usa kwa mshahara mnono kwenye huu uzi kwenye link

B.Fernandes: Mtanzania aliyekataa mshahara wa Mil 425 marekani arejea Tz - JamiiForums

jamaa ameanza actions za kilichomfanya akatae kuajiriwa majuu na kurudi Tanzania


hii ni copy and paste kutoka millard ayo updates

Application ya Watanzania inayopatikana @nala.money maarufu kwa kukamilisha miamala ya kifedha bila kutumia Internet inayopatikana kwenye Playstore, leo imeshinda Tuzo ya #DisruptiveInnovation kwenye TUZO za #AppsAfrica 2018 Cape Town nchini Afrika kusini.
_
Mwanzilishi na Mkurugenzi Mkuu wa @nala.money @benji_fernandes amepokea Tuzo hiyo na kuahidi kufanya makubwa zaidi ambapo mpaka sasa
@nala.money ndio application ya kwanza inayokamilisha miamala yako yote bila kutumia Internet na ndio application ya huduma za kifedha salama zaidi Tanzania. #MillardAyoUPDATES
 

Attachments

  • 44792154_273339613355419_8083904322677549546_n.jpg
    44792154_273339613355419_8083904322677549546_n.jpg
    50 KB · Views: 36
Tajiri wa kwanza nchini China, bwana Jack Ma aliwahi kusema;

"Ukiweka CHAKULA (kidogo) na HELA mbele ya wanyama, wata chagua chakula, kwasababu hawajui hela inaweza kununua chakula kingi zaidi". Kiuhalisia, ukiwapa binaadamu KAZI na BIASHARA, wengi wao wata chagua KAZI, kwasababu hawa tambui kua biashara inaweza kuwaingizia kipato zaidi ya mshahara.

Faida ya biashara ni nzuri kuliko mshahara, mshahara utakufanya uishi ila faida ya biashara itakufanya upate utajiri . Muacheni dogo ajaribu zali.

HISTORI FUPI YA MAISHA YAKE (JACK MA, Tajiri namba 1 China).

Kwa maneno yake mwenyewe alisema (nanukuu);

"""Katika maisha yangu nimefeli sana, nimepitia mambo ya kuchekesha sana katika kufeli huko, nimefeli MARA MBILI katika mitihani ya kujiunga shule ya msingi. Nimefeli MARA TATU katika mtihani wa kuingia shule ya sekondari. Mnajua vizuri nimefeli MARA TATU mtihani wa kuingia chuo kikuu, kwa hiyo nikafanya maombi ya kazi mara THELATHINI (30), na nikapigwa chini maombi hayo yote.

Nliwahi hata kwenda kuomba kazi KFC ya kuhudumia chakula, watu 23 walikubaliwa maombi yao ya kazi, ila mimi peke yangu nikapigwa chini maombi yangu.

Nikaamua kwenda kuomba kazi POLICE, tulikua 5, wanne walikubaliwa kujiunga ila mimi peke yangu nikakataliwa. Hivo, kwangu mimi kukataliwa/kufeli ni jambo linalonipa moyo kujaribu.

Nlisahau kuwaambia, nilifanya maombi ya kujiunga HAVARD mara 10, nikapigwa chini mara zote."""

 
Tajiri wa kwanza nchini China, bwana Jack Ma aliwahi kusema;

"Ukiweka CHAKULA (kidogo) na HELA mbele ya wanyama, wata chagua chakula, kwasababu hawajui hela inaweza kununua chakula kingi zaidi". Kiuhalisia, ukiwapa binaadamu KAZI na BIASHARA, wengi wao wata chagua KAZI, kwasababu hawa tambui kua biashara inaweza kuwaingizia kipato zaidi ya mshahara.

Faida ya biashara ni nzuri kuliko mshahara, mshahara utakufanya uishi ila faida ya biashara itakufanya upate utajiri . Muacheni dogo ajaribu zali.

HISTORI FUPI YA MAISHA YAKE (JACK MA, Tajiri namba 1 China).

Kwa maneno yake mwenyewe alisema (nanukuu);

"""Katika maisha yangu nimefeli sana, nimepitia mambo ya kuchekesha sana katika kufeli huko, nimefeli MARA MBILI katika mitihani ya kujiunga shule ya msingi. Nimefeli MARA TATU katika mtihani wa kuingia shule ya sekondari. Mnajua vizuri nimefeli MARA TATU mtihani wa kuingia chuo kikuu, kwa hiyo nikafanya maombi ya kazi mara THELATHINI (30), na nikapigwa chini maombi hayo yote.

Nliwahi hata kwenda kuomba kazi KFC ya kuhudumia chakula, watu 23 walikubaliwa maombi yao ya kazi, ila mimi peke yangu nikapigwa chini maombi yangu.

Nikaamua kwenda kuomba kazi POLICE, tulikua 5, wanne walikubaliwa kujiunga ila mimi peke yangu nikakataliwa. Hivo, kwangu mimi kukataliwa/kufeli ni jambo linalonipa moyo kujaribu.

Nlisahau kuwaambia, nilifanya maombi ya kujiunga HAVARD mara 10, nikapigwa chini mara zote."""

Kwa tanzania ya leo LABDA
 
Tajiri wa kwanza nchini China, bwana Jack Ma aliwahi kusema;

"Ukiweka CHAKULA (kidogo) na HELA mbele ya wanyama, wata chagua chakula, kwasababu hawajui hela inaweza kununua chakula kingi zaidi". Kiuhalisia, ukiwapa binaadamu KAZI na BIASHARA, wengi wao wata chagua KAZI, kwasababu hawa tambui kua biashara inaweza kuwaingizia kipato zaidi ya mshahara.

Faida ya biashara ni nzuri kuliko mshahara, mshahara utakufanya uishi ila faida ya biashara itakufanya upate utajiri . Muacheni dogo ajaribu zali.

HISTORI FUPI YA MAISHA YAKE (JACK MA, Tajiri namba 1 China).

Kwa maneno yake mwenyewe alisema (nanukuu);

"""Katika maisha yangu nimefeli sana, nimepitia mambo ya kuchekesha sana katika kufeli huko, nimefeli MARA MBILI katika mitihani ya kujiunga shule ya msingi. Nimefeli MARA TATU katika mtihani wa kuingia shule ya sekondari. Mnajua vizuri nimefeli MARA TATU mtihani wa kuingia chuo kikuu, kwa hiyo nikafanya maombi ya kazi mara THELATHINI (30), na nikapigwa chini maombi hayo yote.

Nliwahi hata kwenda kuomba kazi KFC ya kuhudumia chakula, watu 23 walikubaliwa maombi yao ya kazi, ila mimi peke yangu nikapigwa chini maombi yangu.

Nikaamua kwenda kuomba kazi POLICE, tulikua 5, wanne walikubaliwa kujiunga ila mimi peke yangu nikakataliwa. Hivo, kwangu mimi kukataliwa/kufeli ni jambo linalonipa moyo kujaribu.

Nlisahau kuwaambia, nilifanya maombi ya kujiunga HAVARD mara 10, nikapigwa chini mara zote."""

Kwa tanzania ya leo LABDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom