G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Twashauliwa kunywa maji kwa kiasi kingi ila kwangu naona ni tatizo kwani kila ninywapo maji hata glass moja ni baada ya nusu saa au dk kadhaa natakiwa kwenda toilet na mara nyingine naenda toilet zaid ya mara mbili swala ambalo ni usumbufu mkubwa kwangu kwa wataalam hivi hili swala kwanini na je kuna tatizo gani? na solution ni nini?