white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,317
- 13,283
Huwa kinarudiwa jumatano saa 7,mchana.Mkuu mm mwenyew nimechelewa na sidhani kama watakirudia. Lakini kupitia youtube wanaweza kukitupia ila inachukuga muda hadi kuipeleka huko.
Huwa kinarudiwa jumatano saa 7,mchana.Mkuu mm mwenyew nimechelewa na sidhani kama watakirudia. Lakini kupitia youtube wanaweza kukitupia ila inachukuga muda hadi kuipeleka huko.
Jaji Warioba anaongea sasa kwenye kipindi cha dk 45. Wahi umsikie!
at least leo umekula ka like kangu! some time unaendaga kuchukua mfumo wako wa kufikiri kwa Mwenyekiti eeh? usiwe kama kina lizabon mkuu. Wao akili zao wamezifungia Msalani wana payuka tu.Viva Warioba!!
MODERATORS PLEASE funikeni kombe mwanaharamu apite! Wewe Jamaa laki si pesa Umkundu sanaHii TV ya mengi ni matatizo sana,inatumika kuvuruga nchi
jaji warioba katika ubora wake
cc to paul makonda
hii tv ya mengi ni matatizo sana,inatumika kuvuruga nchi
Mbona at a hawakutangaza kuwa mzee atakuwapo ITV mambo gani haya twakosa mambo ya maana yenye ujazo Wa hekima na busara za kutosha
Warioba ni Kiboko ya CCM
Mzee wetu Warioba anawasemea watz walio wengi na ambao wameibwaga ccm kwenye chaguzi serikali za mitaa.
Viva Jaji Warioba. Mungu akulinde na uzee wako uendelee kuwa dawa.
Hii TV ya mengi ni matatizo sana,inatumika kuvuruga nchi
Wewe unakesha hapa JF, ni mara ngapi umeona wadau wakijadili programs au taarifa zilizorushwa kupitia TBC? amka, nenda shule ukatoe ujinga then uje huku duniani kulitumikia taifa.
Aksante mkuu kwa taarifa.Marudio huwa ni jumatano saa. 7 mchana.
Viva Warioba!!