Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Jina la Warioba litaandikwa kwa wino wa dhahabu lakini hawa wajumbe wa ccm tutawahukumu kwenye kura pia wale wataotangulia mbele za haki makuburi yao tutayachapa fimbo za kutosha hawana busara wanajali maslahi yao binafsi pamoja na chama chao ccm UJUMBE WANGU WA LEO BORA MUNGU AKUNYIME UWEZO WA KUPATA PESA AKUPE MOYO WA BUSARA NA HEKIMA