BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Jaji Mstaafu Mark Bomani amesema anaunga mkono rasimu ya Katiba kwa Serikali tatu ila amepinga kuiita Tanganyika kwa jina la Tanzania Bara,amesema mbona Zanzibar waitwa hivyo? Na sisi Tanzania visiwani?
Amehoji ni Kwanini Baadhi ya Watu wanaona Aibu kutumia Jina Tanganyika Badala ya Tanzania Bara.
Amesema kuwa Muundo wa Muungano wa Serikali tatu ndo Moarobaini Pekee kwa Kero Zote za Muungano.
Chanzo: ITV
Amehoji ni Kwanini Baadhi ya Watu wanaona Aibu kutumia Jina Tanganyika Badala ya Tanzania Bara.
Amesema kuwa Muundo wa Muungano wa Serikali tatu ndo Moarobaini Pekee kwa Kero Zote za Muungano.
Chanzo: ITV