Jaji Mkuu, "Justice delayed is justice denied".

Wachunguzi wanasema hawatarajii kuona kuna Jaji mkuu mwingine atakuja kuvunja rekodi ya hovyo ya huyu wa sasa
 
Haha mkuu kuna yule CP wa Polisi aliletwa kwenu Fire kua kua kamishna Mkuu...pole sana
 
Jaji mkuu anaonyesha hajui majukumu yake, anaamini katika kujinyenyekeza kwa mkulu ndio maana huwa anahudhuria kila hafla ya ikulu kama mateka wa ikulu. Jaji mkuu ni sehemu ya huu udhalimu wanaofanyiwa upinzani kwa kuvalishwa uzalendo wa wanasiasa.
We fala sana ,hivi unajitambua kweli,hanithi llaamal,unamdharau jaji kweli?,wafuasi wa chadema ni mithiri ya ukoma sugu aisee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…