Wakati mwingine jaji mkuu atoke kwa utaratibu mzuri. Awe hakimu, jaji mahakama kuu na aende kuwa jaji rufaa... Huu utaratibu wa kukwapua watu kusikojulikana na kuwapichika vyeo ni hatari sana... TRA, ZIMAMOTO, NSSF NK. Mbona mkuu wa majeshi hawezi kutoka Auxiliary Police au Mkuu wa Polis hawezi kutoa KK security? Nilisikitishwa na kitendo cha kumchukua mtu tola Polis kwenda kuwa kamishna mkuu zimamoto. Hii inakatisha tamaa wafanyakazi wa chini wakijua hata wafanye kazi namna gani hawawezi kukaa pale juu
Sent using
Jamii Forums mobile app