Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
"Nimesoma rufaa ya kesi ambayo Freeman Mbowe na wenzake walifungwa, Jaji wa mahakama kuu wanasema "nothing more is said in the judgement about evidence. They were convicted of those counts on the mere statements". Yaani wakihukumiwa bila ushahidi.. Kwanini mnawaonea watu hivi?
Ni dhuluma. Dhuluma dhidi ya haki na uhuru. Kwa utaratibu ni afadhali umuachie huru mtu kwa kukosa ushahidi kuliko kumtia hatiani mtu kwa kukosa ushahidi. Hakimu Thomas Simba aliwaonea akina Freeman. Wangapi wameonewa namna hii? Mahakama siyo chombo cha kutesa RAIA. hamuelewi?
Thomas Simba, wakati huo anafanya maamuzi hayo ya kidhalimu dhidi ya viongozi na wanachama hao wa Chadema, ndiye alikuwa Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama ya Kisutu. Tulitegemea awe jicho la mahakimu wengine wa chini yake, badala yske amewaonea watu wasiokuwa na hatia. Why?"
Martin M.M
Ni dhuluma. Dhuluma dhidi ya haki na uhuru. Kwa utaratibu ni afadhali umuachie huru mtu kwa kukosa ushahidi kuliko kumtia hatiani mtu kwa kukosa ushahidi. Hakimu Thomas Simba aliwaonea akina Freeman. Wangapi wameonewa namna hii? Mahakama siyo chombo cha kutesa RAIA. hamuelewi?
Thomas Simba, wakati huo anafanya maamuzi hayo ya kidhalimu dhidi ya viongozi na wanachama hao wa Chadema, ndiye alikuwa Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama ya Kisutu. Tulitegemea awe jicho la mahakimu wengine wa chini yake, badala yske amewaonea watu wasiokuwa na hatia. Why?"
Martin M.M