Kibusampimpo
Member
- Jan 15, 2018
- 5
- 0
Jaji werema ilikuwaje?
Huo uliojichimbia zaidi ndio unaowatesa wenzake!
!
Nadhani jaji ni mkubwa. Kwa sababu kuna mihimili mitatu ambayo tunaambiwa iko sawa (swala la mmoja umejichimbia zaidi liachwe kwanza), Bunge Mahakama na Selikali. Jaji mkuu ni kiongozi wa Mahakama. Selikalini ambapo anapatikana mwamasheria mkuu, kiongozi ni Raisi. Kwa hiyo wanaolingana ni Raisi, Spika na Jaji mkuu.