Jaji Jacobs Mwambegele aliteuliwa na nani?

Jaji Jacobs Mwambegele aliteuliwa na nani?

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,579
Tuanze na hapo Watanganyika wenzangu,mpaka tufike kwenye point ni kweli anaweza kutangaza matokeo ya uchaguzi katika hii hari ya taharuki?
 
Everything is Rigged brother, hakuna kitu Chochote chenye uhalali baada ya 29 October!!..lazima waTanganyika wa nje na wenye access ya internet kwa sasa tuje na mpango kazi wakuwafkia ndugu zetu kote Tanzania , kuwaambia wasikae mbali na magari ya JWTZ yaliyoko barabarani, amani kwa sasa inapatikana barabarani kando ya JWTZ walioko barabarani!!!.. majumbani ni killing zone
 
Huyu alikuwa Katibu wa Sheria wa Kikwete then Kikwete akamteua kuwa Jaji.

Samia akamteua kuwa Jaji wa Rufani na kumteua kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi.

Hawa wote ndo watu ambao tunatakiwa kuwanote vizuri na kuwashughulikia kisawasawa baada ya kumalizana na huyu samia na ccm yake
 
Huyu alikuwa Katibu wa Sheria wa Kikwete then Kikwete akamteua kuwa Jaji.

Samia akamteua kuwa Jaji wa Rufani na kumteua kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi.

Hawa wote ndo watu ambao tunatakiwa kuwanote vizuri na kuwashughulikia kisawasawa baada ya kumalizana na huyu samia na ccm yake
Ndiyo hapa nilipokuwa nataka tuanzie,sasa kwa huu uteuanaji wa kiholela kweli ndiyo siku moja angekuja kuteuliwa kiongozi wa upinzani kuwa Rais? Hata kama kapata kura za kutosha,hawa watu bila maandamano hawatakuja kutoka madarakani
 
Huyu alikuwa Katibu wa Sheria wa Kikwete then Kikwete akamteua kuwa Jaji.

Samia akamteua kuwa Jaji wa Rufani na kumteua kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi.

Hawa wote ndo watu ambao tunatakiwa kuwanote vizuri na kuwashughulikia kisawasawa baada ya kumalizana na huyu samia na ccm yake
Ah i see the connection, wale wale collective ya corrupted individuals
 
Mwambegele ni usalama sio wa Taifa ila wa CCM.......amekuwa member wa Kitengo alivyotoka tu JKT baada ya kusoma HGL Ilboru. Mara ya Mwisho nilikutana nae uko University of Manchester akiwa anachukua LLM Mambo ya Katiba sasa ya kuchekesha Mtaalam wa mambo ya katiba ndo anatumika kuvurunda Katiba
 
Tuko vizuriii
1000187720.jpg
 
Back
Top Bottom