Majungu hayawezi kumyima mtu haki anayostahili, na hawa pia mwenyezi MUNGU atawalipiza kufuatana na kile wanachostahili; kama kweli walitenda dhambi wanazotuhumiwa nazo basi malipo yao yapo hapa hapa duniani na kama hawakutenda makosa watapata haki yao hapa hapa duniani na wapika majungu nao watapata adhabu yao!!!
Mkuu huwezi endesha serikali kama ibada.
Mnafurahia wenzenu wakipatwa na matatizo enhee. Kwa mijubu wa utumishi wa umma wameonekana hawana makosa. Nyie mnata kulazimisha wanamakosa. Nyie ni watu wa ajabu kweli.
Kama wabunge mmeweza kuwachomoa mawaziri, naamini hawa hawatawashinda, jambo la msingi hapa ni kuhakikisha kuwa hawa watu hawapati nafasi ya kusambaza na kuambukiza uovu wao kwa watendaji wengine, naamini kuwa wapo wasomi wengi nchini wenye uadilifu na uwezo wa kushika nafasi za hawa waliolifikisha taifa kwenye majanga, hakuna 7bu ya kuendelea kuwakumbati unless kuna agenda ya siri nyuma ya pazia
Mnafurahia wenzenu wakipatwa na matatizo enhee. Kwa mijubu wa utumishi wa umma wameonekana hawana makosa. Nyie mnata kulazimisha wanamakosa. Nyie ni watu wa ajabu kweli.
Ni huyu huyu Kikwete aliekuwezesha kujua Uozo uliopo kwenye System ukapata ujasiri mpaka uka Comment wakati huu na si kabla ya Utawala wake! Unadhani Mfumo wa Serikali unaoulalamikia ulianza December 2005?