Kujiuzuru ni kujidhuru. Patamu hapo. Hatoki mtu, kwani sis ndio wa kwanza? Tutakomaa na wabunge mpaka basi. Kwanza baba yetu anarudi leo, ndio kwanza anatuletea chocolate za sauzi. Ninyi kama mmefulia tulia mliwe, "sisi tumethubutu tumeweza, tunasonga mbele!