johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,191
- 144,238
Viongozi wote wa kisiasa hadi Ufipa!Huko ccm kila mtu kambale sijuwi jafo kamlenga nani.
Kujipendekeza siyo kiburi wala kujitutumua!Pamoja nayeye,mawaziri wamezidi kujipendekeza....wafanye kazi kwa kujiamini maana wameaminiwa
Ni udhaifu na kutokosa ujasiri.....ukisema Chato ni kitovu cha utalii unadhani headmaster wa nchi atafurahi wakati ukweli hata yeye anaujua ila anajipendekeza .........Kujipendekeza siyo kiburi wala kujitutumua!
Kwani kitovu cha utalii ni wapi?Ni udhaifu na kutokosa ujasiri.....ukisema Chato ni kitovu cha utalii unadhani headmaster wa nchi atafurahi wakati ukweli hata yeye anaujua ila anajipendekeza .........
Bwashee acha uchochezi!Jafo mwambie Jiwe kule Chato arudi Dom aache kujitutumua na kuiacha ikulu ya Dodoma wakati Watanzania tumeijenga kwa mamilioni ya shilingi
Ujumbe huu unqmfaa sana bosi wake a.k.a chato boy.Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.
Hapo Ufipa pamejazana " Wajivuni" kibao.Ujumbe huu unqmfaa sana bosi wake a.k.a chato boy.
Ana kiburi jiwe huyu utadhani yeye ndiye kamuumba Mungu.
Hawamfikii huyu mbwiga mshamba, limbukeni mwanaizaya asiyefaa kuishi wa Chato.Hapo Ufipa pamejazana " Wajivuni" kibao.
Huu ujumbe umfikie Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Dodoma , yaani kazidi na ni mnyanyasaji mkubwa si kwa watumishi pekee wanafuzi na hata wazazi wakienda kwa ajili ya jambo lolote la kikazi na kwa kweli huyu amulikwe na kushughulikiwa pia.Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.
Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.
Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Naibu waziri David Silinde amekusikia!Huu ujumbe umfikie Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Dodoma , yaani kazidi na ni mnyanyasaji mkubwa si kwa watumishi pekee wanafuzi na hata wazazi wakienda kwa ajili ya jambo lolote la kikazi na kwa kweli huyu amulikwe na kushughulikiwa pia.
Ni kweli Jaffo lakini kama Waziri mwenye dhamana ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliuvuga.HII NI KIBRI!!Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.
Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.
Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!