Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Jadon Sancho
Ukweli lazima usemwe. Jana ndiyo mara yangu ya kwanza kumshudia huyu kijana kutoka kwa Queen Elizabeth ukimutizama ni kama vile mlaini kumbe jamaa ni mapafu ya mbwa.
Akiwa na mpira huuchukui kizembe. Bado ana faida moja ya mbwembwe dah mshikaji ana mbembwe kinoma. Mara mpira auche mara aurudie yaan shida tupu. Bado anaweza piga mashuti kupiga vyenga bado anaweza kupambana kukaba.
Siyo wale madogo wa Chelsea urojo urojo. Dogo kama mount kila akipiga shuti lazima aunguke. Odoi legelege kinoma.
Abraham lege lege ile mbaya. Namtabiria kufika mbali huyu ninja wa kuitwa Sancho.
MUNGU AMABARIKI SANA
AMINA
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app