Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Jackson Lupanda Maarufu kama Lupanda_Hd Slomo Master Kutoka Azam media Limited ametia nia ya kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi CCM.
Pia soma
www.jamiiforums.com
Pia soma
Pre GE2025 - Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Tunavyoelekea kwenye uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya vyama vya siasa nchini vimefungua dirisha kwa wanachama wao kutia nia kugombea nafasi za ubunge. Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia kugombea nafasi ya Ubunge na watakaopitishwa na vyama vyao kugombea nafasi hiyo. Juni 2025 Mchungaji...