mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 972
- 1,669
Habari zenu Wana jukwaa la michezo!
Mimi nataka kufahamu kutoka kwa magwiji wa betting,ninyi mnatumia mbinu gani kushinda hizi jackpot za sport pesa,mkeka bet,m bet na zinginezo?
Maana wenzenu huku tunajitanya kuchambua mechi mpaka tunalipia pesa kwenye makampuni ya kuchambua mechi lakini holaaa.sasa hebu tushirikishaneni maujuzi ili tumfirisi huyu kanjibai.
Mimi nataka kufahamu kutoka kwa magwiji wa betting,ninyi mnatumia mbinu gani kushinda hizi jackpot za sport pesa,mkeka bet,m bet na zinginezo?
Maana wenzenu huku tunajitanya kuchambua mechi mpaka tunalipia pesa kwenye makampuni ya kuchambua mechi lakini holaaa.sasa hebu tushirikishaneni maujuzi ili tumfirisi huyu kanjibai.