J.Muro anatumia chadema kujenga jina

J.Muro anatumia chadema kujenga jina

Lihove2017

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
423
Reaction score
560
Moja kwa moja kwenye issue

Nimefuatilia kwa muda kiasi nimegundua kwamba Jerry Murro ni kijana smart uchwara hivi.ametafuta kona ya kupatia umaarufu akagundua ikiwa ataamzisha makelele na baadhi ya watu wenye publicity kubwa atapaa kwa haraka sana.amefanya uchaguzi sahihi wa kupitia chadema ili apate publicity.ila kitu alichowaweza chadema ni kuwaingiza kwenye mtego nao wakanasa haraka haraka.hawajajua kwamba nia yake ni kutaka chadema imsaidie kumnadi kwa Kwa Mkuu wa nchi.ilivyo ni kwamba sasa hivi ukikosana ukihitalifiana na chadema unaonekana mzalendo, sijajua ni kwa nini, unaonekana wewe ni mwenzao.unaweza kufikiriwa chochote kwenye ccm.hasa kipindi hiki

Ushauri ni kwamba Chadema angalie mbele .watu kama Muro wapoteza focus yenu kwa maslahi yao binafsi.huo ulikuwa ni mtego ambao nasikitika kuwambia mmeshanasa nusu.jamaa amescore point flan hapo.

Kwani ametumia ile style ya kuudhi ili mtu a-loose temper akose cobtrol.yaani ana-waprovoke.ni kama mcheza karata anaanza na karata ndogo ndogo ili baadaye awapige na dume.

Angalieni hilo sakata la kadiwani wala rushwa tayari linaanza kutaka kufifishwa
 
Wanachadema wamo humu nadhani watafikisha habari

Ni kama huo mjadala ushakufa.

Leo ni siku ya saba tangu mjadala wa ununuzi wa madiwani uanze.

Ila kuna matukio yamepangiliwa na kitengo cha Ikulu/CCM ambacho kina mkakati wa kuufifisha.

Alianza JPM na mkutano wa ALAT,akaja JPM tena na mabadiliko ya baraza.

Ni kama ajenda ya madiwani ishakufa.
 
Pingu,pingu,pingu.Bastola,bastola,bastola.Ajiraaaa,ah!!! Deus de amor.
 
Mimi napingana na hoja yenu. Jerry siyo smart hata kidogo. Upinzani wake, hasa kuishambulia Chadema umeshamfanya very unpopular mpaka sasa. Ukimpeleka hata kugombea ujumbe wa serikali ya mtaa atashindwa.
 
Kesho utasikia press conf. Ufipa kumjibu kijana wa rombo yan ni mwendo wa mialiko tu kwa wabahabari leo huku kesho kule ili mradi tamthilia iendelee☺
 
upumbavu ni kitu kibaya sana omba ujinga siyo upumbavu,
 
Kuna jamaa ameshauri wampuuze , kazi ya kumjibu wamuachie Mange.

Kwa kadri CDM itakavyokuwa inamjibu na yeye bila shaka atakuwa anajibu na umaarufu wake "uchwara" utaanzia hapo kupaa!
Sidhani kama mkutano mkuu wa chadema ulikaa na kumjibu huyo mtu,Bali amejibiwa na utashi wa mtu mmoja mmoja kama ambavyo Mimi nakujibu.Mimi ninapojibu haina maana kwamba Mimi ni kiongozi wa chadema.
 
at least he talks better than Lema, na ni msomi mwenye akili zaidi ya Lema na msigwa
 
Anajisumbua kashindwa kujijenga Yanga ATAFUTE kiki nyingine
Kwa Juliana Shonza mlisema hivihivi kuwa anajisumbua. Leo hii kapewa ubunge na tayari waziri. Nina uhakika Jerry Muro akiebdeleza kupiga domo atatopoa muda wowote ule
 
Chadema wamuache Muro Mange atamalizana naye kibangi bangi
 
Back
Top Bottom