Jamani jamani jamani jamaani!
Ama kweli dunia
walimwengu
wameivisha
bikini na sidilia
ilh ipendeze zaidi.
Ombi langu kwa
umoja wa watu matajiri dunia , wafanye mchakato wa viwanda vyote vya nguo viwe vinatengeneza nguo za kutoke beach ndio ziwe za ku shindia mtaani. Au wadau wengine mwasemaje!