J.Assange: Kwanini Wazungu hawavamii Ubalozi kumchukua?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Jullian Assange anatafutwa na USA kwa kosa la kuvujisha siri za USA na USA wamezitaka nchi zote marafiki zimkamate na kumpeleka USA kushitakiwa, mpaka leo hii J.Assange yuko nchini Uingereza lkn ameomba hifadhi kwenye Ubalozi wa nchi ya Ecuador ulioko nchini Uingereza!

Sasa swali langu kwenu, ni kwa nini Nchi ya Uingereza haivamii Ubalozi wa Ecuador na kumchukua J.assange kwa nguvu kumpeleka USA? Ikumbukwe kwamba J.Assange akitoka tu nje ya Ubolozi wa Ecuador hapo Uingereza, anakamtwa na Askari wa Uingereza na kupelekwa USA, sasa kwa nini Uingereza isivamie Ubalozi wa Ecuador?

Jibu ni rahisi, International law ambayo nchi ya Uingereza inaheshimu kwa maana wanajua kama wakikiuka hata wao iko siku itakuja kuwarudi, Ecuador ni nchi huru, (sovereign state) hivyo inastahili heshima!

Lakini kwetu Afrika hakuna mtu anaheshimu International law ni rule of the jungle, mwenye nguvu anavamia nchi ndogo ili kushinikiza matakwa yake na kukanyaga Internationa law, halafu tunachekelea bila kutambua ya kwamba ni swala la muda tu kabla na sisi hatujawa victim wa kukanyaga na kudharau International law, kuna sababu kwa nini kuna International law, ambayo inatambua haki ya nchi kuwa huru na kuamua mambo yake, na uchaguzi ni mambo ya ndani ya nchi huru!


Kwa nini Wazungu hawavamii Ubalozi na kumchukuwa J.Assange kwa nguvu? Ina maana huyu angekuwa yuko Afrika tungetuma Jeshi kuvamia na kumtoa kwa nguvu?
julian-assange-wikileaks-ecuador-embassy-un.jpg


Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza ambapo J.Assange yumo ndani, Askari wakisubiri atoke wamkamte, kwa nini hawavamii kama Waafrika?!
120819021224-julian-assange-ecuador-3-horizontal-large-gallery.jpg
 
Wewe najua unahangaika kwa ajili ya Jammey ambaye Majeshi ya ECOWAS tayari yameshaingia Banjul.
Rais wa Gambia Mheshimiwa Adama Barrow ameapa kumfikisha ICC.
Hiyo ndio dawa ya Viongozi wanaodhulumu haki za wapiga kura Maskini.
 
Uvamizi wa US, UK na marafikizao kwa Iraq, Syria, Libya na nchi nyingine. Unasemaje hapo?
 
Aisee, huyo rafiki yetu Barbarosa anavyofanya jitihada za kutengeneza picha kuwa kuvamia Gambia ni makosa hakuna mfano. Lakini ningependa kujua maoni yake kama alichofanya Jammey ni sahihi. Tuchukulie kuwa hakuna uvamizi wowote, Je, maamuzi ya Jammey yanalindwa na sheria zipi zinazofahamika?
 
Aisee, huyo rafiki yetu Barbarosa anavyofanya jitihada za kutengeneza picha kuwa kuvamia Gambia ni makosa hakuna mfano. Lakini ningependa kujua maoni yake kama alichofanya Jammey ni sahihi. Tuchukulie kuwa hakuna uvamizi wowote, Je, maamuzi ya Jammey yanalindwa na sheria zipi zinazofahamika?


Ninachopinga mimi ni kuivamia nchi na wala siko hapa kumtetea Jammeh kwa maana wala simjui, ila ninachopigania ni sisi kuheshimu Internationa law ambayo inatambua haki ya nchi kuwa huru kuamua mambo yake, Uchaguzi ni mambo ya ndani ya nchi na hakuna nchi nyingine yenye uhalali au haki ya kuingilia, na Gambia ni nchi huru hivyo hakuna mwene haki ya kuvamia!
 
Jullian Assange anatafutwa na USA kwa kosa la kuvujisha siri za USA na USA wamezitaka nchi zote marafiki zimkamate na kumpeleka USA kushitakiwa, mpaka leo hii J.Assange yuko nchini Uingereza lkn ameomba hifadhi kwenye Ubalozi wa nchi ya Ecuador ulioko nchini Uingereza!

Sasa swali langu kwenu, ni kwa nini Nchi ya Uingereza haivamii Ubalozi wa Ecuador na kumchukua J.assange kwa nguvu kumpeleka USA? Ikumbukwe kwamba J.Assange akitoka tu nje ya Ubolozi wa Ecuador hapo Uingereza, anakamtwa na Askari wa Uingereza na kupelekwa USA, sasa kwa nini Uingereza isivamie Ubalozi wa Ecuador?

Jibu ni rahisi, International law ambayo nchi ya Uingereza inaheshimu kwa maana wanajua kama wakikiuka hata wao iko siku itakuja kuwarudi, Ecuador ni nchi huru, (sovereign state) hivyo inastahili heshima!

Lakini kwetu Afrika hakuna mtu anaheshimu International law ni rule of the jungle, mwenye nguvu anavamia nchi ndogo ili kushinikiza matakwa yake na kukanyaga Internationa law, halafu tunachekelea bila kutambua ya kwamba ni swala la muda tu kabla na sisi hatujawa victim wa kukanyaga na kudharau International law, kuna sababu kwa nini kuna International law, ambayo inatambua haki ya nchi kuwa huru na kuamua mambo yake, na uchaguzi ni mambo ya ndani ya nchi huru!


Kwa nini Wazungu hawavamii Ubalozi na kumchukuwa J.Assange kwa nguvu? Ina maana huyu angekuwa yuko Afrika tungetuma Jeshi kuvamia na kumtoa kwa nguvu?
julian-assange-wikileaks-ecuador-embassy-un.jpg


Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza ambapo J.Assange yumo ndani, Askari wakisubiri atoke wamkamte, kwa nini hawavamii kama Waafrika?!
120819021224-julian-assange-ecuador-3-horizontal-large-gallery.jpg
Mleta hoja umeonyesha ni jinsi gani unaipenda ccm maana mchezo wa Jameeh ndiyo wa ccm kung'ang'ania madarakani.
Nikwambie hoja yako haina mashiko kabisa kwa sasa hata marekani ilivamia sehemu kubwa ya dunia ili kuwatoa madictator kama wewe. Kwa hiyo usiseme uingereza inaheshimu la hasha Bali inaogopa wanadiplomasia wake wasijejikuta kwenye mkumbo
 
Aisee, huyo rafiki yetu Barbarosa anavyofanya jitihada za kutengeneza picha kuwa kuvamia Gambia ni makosa hakuna mfano. Lakini ningependa kujua maoni yake kama alichofanya Jammey ni sahihi. Tuchukulie kuwa hakuna uvamizi wowote, Je, maamuzi ya Jammey yanalindwa na sheria zipi zinazofahamika?
Hana la maana ila ni sawa na Mkapa kuwalazimisha warundi wamtambue, Nkurunzinza kwa sababu ni mtu wa ccm.
 
hiyo international law yako ambayo unaisfia Uingereza anaifata aliitumia hyohyo kuingia kwa sadam hussein na kwa gadaf.na ilbaki kidgo aingie syria.
 
Mleta hoja umeonyesha ni jinsi gani unaipenda ccm maana mchezo wa Jameeh ndiyo wa ccm kung'ang'ania madarakani.
Nikwambie hoja yako haina mashiko kabisa kwa sasa hata marekani ilivamia sehemu kubwa ya dunia ili kuwatoa madictator kama wewe. Kwa hiyo usiseme uingereza inaheshimu la hasha Bali inaogopa wanadiplomasia wake wasijejikuta kwenye mkumbo
Anaogopa?zamu yao inakuja.
 
Back
Top Bottom