Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
Kupitia blog ya salehe ally nimeona taarifa ya ivo kuwapa makavu live simba kuanzia uongozi hadi mashabiki huku akimsifia manji,hali hiyo imetokea baada ya manyika kufiwa na babu yake ambapo hakuna hata kiongozi wala mwanachama aliejitokeza kwenye msiba tofauti na manji ambae kwenye msiba wa dida alikwenda hadi kwenye ibada kanisani,ivo ameumizwa sana na kitendo hicho kilichojirudia kwani hata yeye alipofiwa hakuna kiongozi yeyote wa simba aliehudhuria,ivo amempongeza manji na wanayanga wote kwa kuoneshana upendo wa hali ya juu kwenye matatizo.
my take:simba acheni roho mbaya,msimpende kwa kua anasaidia timu tu na kumtelekeza kwenye matatizo.
my take:simba acheni roho mbaya,msimpende kwa kua anasaidia timu tu na kumtelekeza kwenye matatizo.