Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Jamani wakuu mlio omba udahili kwa cas-tcu,wale mlio omba bcom-finance udsm kama 1st choice ebu jitokezeni humu ili tujijue tuko wangapi tulio omba hiyo faculty ili tujue competition itakuaje,maana kama ilivoonyeshwa kwenye guide book ya tcu hyo faculty inachukua watu 80 tu,sasa sie wengine ingawa tumeandikiwa eligible lakin hatujui kama tutabahatika kuchaguliwa!