festor lupembe mtemi
Member
- Aug 1, 2013
- 24
- 3
katika maisha yangu yote sijawahi kupata mtoto wakike anae nipenda nakunidhamini huwa najiulizaga maswali siyapatiagi majibu au wangu wa kunipenda haja zariwa maana nikikumbuka hapo mwanzo nilisha wahi kuwa namchumba mpaka nikamtambulisha kwa wazaz lakin nivyokuja kumwambia tuoane jibu alilo nipa aliniambia kwamba nimeisha chelewa alafu akamarzia kwamba alikua ananichuna 2 lakini ninaempenda yupo daa nikasema sitokaa nikapenda tena maishani mwangu lakini majukumu yamezidi natafuta mchumba wa kuow