Ivi jamani nilini nitakuja kumpata mke mwema

Ivi jamani nilini nitakuja kumpata mke mwema

Joined
Aug 1, 2013
Posts
24
Reaction score
3
katika maisha yangu yote sijawahi kupata mtoto wakike anae nipenda nakunidhamini huwa najiulizaga maswali siyapatiagi majibu au wangu wa kunipenda haja zariwa maana nikikumbuka hapo mwanzo nilisha wahi kuwa namchumba mpaka nikamtambulisha kwa wazaz lakin nivyokuja kumwambia tuoane jibu alilo nipa aliniambia kwamba nimeisha chelewa alafu akamarzia kwamba alikua ananichuna 2 lakini ninaempenda yupo daa nikasema sitokaa nikapenda tena maishani mwangu lakini majukumu yamezidi natafuta mchumba wa kuow
 
Jaribu kuwashirikisha viongozi wako wa dini ili wakupe mwangaza kidogo juu ya haya maamuzi yako usije ukaoa mwanamke ambae utamjutia ndani ya ndoa. KWA WAGANGA WA KIENYEJI USIENDE, WANAWEZA WAKAKUPA JINI MAHABA BADALA YA MKE. Kila la Heri Kaka.
 
Jaribu kuwashirikisha viongozi wako wa dini ili wakupe mwangaza kidogo juu ya haya maamuzi yako usije ukaoa mwanamke ambae utamjutia ndani ya ndoa. KWA WAGANGA WA KIENYEJI USIENDE, WANAWEZA WAKAKUPA JINI MAHABA BADALA YA MKE. Kila la Heri Kaka.

ok kiongozi nitazingatia ushauri wako kwanzia kesho nitaufanyia kazi
 
katika maisha yangu yote sijawahi kupata mtoto wakike anae nipenda nakunidhamini huwa najiulizaga maswali siyapatiagi majibu au wangu wa kunipenda haja zariwa maana nikikumbuka hapo mwanzo nilisha wahi kuwa namchumba mpaka nikamtambulisha kwa wazaz lakin nivyokuja kumwambia tuoane jibu alilo nipa aliniambia kwamba nimeisha chelewa alafu akamarzia kwamba alikua ananichuna 2 lakini ninaempenda yupo daa nikasema sitokaa nikapenda tena maishani mwangu lakini majukumu yamezidi natafuta mchumba wa kuow

Kama kibao cha Ally Kiba cha Wasalimie Kigoma. btw pole sana pia kumbuka ule msemo unaosema MPENDE AKUPENDAE maana huwa tunalazimisha penzi kiasi kwamba kwa gharama yoyote unataka mrembo umpate kumbe kuna mazingira mengine fedha inakuwa kama kitendea kazi tu cha kawaida, tafuta wimbo wa Cosmas Chidumule kuna kipengele kinaimba "usitumie fedha kama fimbo kaka mpaka pale kunapokuwa na makubaliano hapo fedha ndio ina thamani", pia tafuta uzi wa Mtambuzi sijui kuweka link labda Mtambuzi atanifundisha ila kiufupi alizungumzia masuala ya ngono kabla ya ndoa kitu kama hicho (nadhani kuna vitu vya kujifunza kidogo humo)
 
Last edited by a moderator:
Mdogo wangu umeuliza swali la maana tuweke utani pembeni.

Hata siku moja usitegemee kutafutiwa mke , unaweza kuunganishiwa lakini mwisho wake muamuzi ni wewe na huyo mwenzako,

Jaribu kuwa mtanashati kiogo uwe unaoga kidogo manake unaonekana hujipendi ndio maana hupati mademu.

Halafu uwe unajikamua kiume hata kama umechacha lakini jaribu kujitutumua ili uonekane.

Anyway ushauri wangu ni kwamba ukiwa unachagua sana basi ujue hutakuja kuoa kwani kila binadamu hapa duniani ana kasoro zake, na bata ukimchunguza sana huwezi kumloa yakhe!

Ukiona mambo magumu tem,bea maeneo ya sinza usiku hasa pale ambience huwezi kukosa mzigo yaani hata kama una domo zito kama zege
 
Mdogo wangu umeuliza swali la maana tuweke utani pembeni.

Hata siku moja usitegemee kutafutiwa mke , unaweza kuunganishiwa lakini mwisho wake muamuzi ni wewe na huyo mwenzako,

Jaribu kuwa mtanashati kiogo uwe unaoga kidogo manake unaonekana hujipendi ndio maana hupati mademu.

Halafu uwe unajikamua kiume hata kama umechacha lakini jaribu kujitutumua ili uonekane.

Anyway ushauri wangu ni kwamba ukiwa unachagua sana basi ujue hutakuja kuoa kwani kila binadamu hapa duniani ana kasoro zake, na bata ukimchunguza sana huwezi kumloa yakhe!

Ukiona mambo magumu tem,bea maeneo ya sinza usiku hasa pale ambience huwezi kukosa mzigo yaani hata kama una domo zito kama zege

umejitaidi kutoa ushauri ila mwisho umearibu.
 
Mdogo wangu umeuliza swali la maana tuweke utani pembeni.

Hata siku moja usitegemee kutafutiwa mke , unaweza kuunganishiwa lakini mwisho wake muamuzi ni wewe na huyo mwenzako,

Jaribu kuwa mtanashati kiogo uwe unaoga kidogo manake unaonekana hujipendi ndio maana hupati mademu.

Halafu uwe unajikamua kiume hata kama umechacha lakini jaribu kujitutumua ili uonekane.

Anyway ushauri wangu ni kwamba ukiwa unachagua sana basi ujue hutakuja kuoa kwani kila binadamu hapa duniani ana kasoro zake, na bata ukimchunguza sana huwezi kumloa yakhe!

Ukiona mambo magumu tem,bea maeneo ya sinza usiku hasa pale ambience huwezi kukosa mzigo yaani hata kama una domo zito kama zege
Nilifikiri una akili ndogo kwenye siasa tu, kumbe hata kwenye maisha ya kawaida hamnazo kabisa. Au ulifikiri na huku kuna buku saba pia? Kama hauna ushauri wa maana soma kisha sepa, sijui utakuwa lini aghhrrr, tumekuchoka sasa.
 
Mdogo wangu umeuliza swali la maana tuweke utani pembeni.

Hata siku moja usitegemee kutafutiwa mke , unaweza kuunganishiwa lakini mwisho wake muamuzi ni wewe na huyo mwenzako,

Jaribu kuwa mtanashati kiogo uwe unaoga kidogo manake unaonekana hujipendi ndio maana hupati mademu.

Halafu uwe unajikamua kiume hata kama umechacha lakini jaribu kujitutumua ili uonekane.

Anyway ushauri wangu ni kwamba ukiwa unachagua sana basi ujue hutakuja kuoa kwani kila binadamu hapa duniani ana kasoro zake, na bata ukimchunguza sana huwezi kumloa yakhe!

Ukiona mambo magumu tem,bea maeneo ya sinza usiku hasa pale ambience huwezi kukosa mzigo yaani hata kama una domo zito kama zege
Sintasahau katika maisha yangu.niliyoyaona jana pale Ambiance.aisee
 
leo ngoja niweke pesa pembeni...........
security.........wanawake tunapenda wanaume ambao ni rijali.......wanaume wanaojiamini........wanaume wa shoka......mwanaume ambae akikohoa inajulikana mwanaume kakohoa..........ukitaka uachwe siku hiyo hiyo....kuwa na mwanamke halafu achokozwe......wewe umejikunyata ka maharage yaliyolowekwa......hiyo ni bye bye........tunapenda wanaume madume......si wanaume kukunja mkia.........sio unakuwa na mwanaume hata mashoga zako wanamuona nae kama shoga yao...........utarushwa kuleeeee..........
 
Back
Top Bottom