baby ake
Member
- Aug 27, 2013
- 60
- 17
Sasa nimekukamata, nakatisha uchunguzi wangu Agakhan.
nisamehe daddy angu jamani, c unajua tena kwako cjiwezi... ntakufa mwenzio (full chozi mepiga na magoti hapa lol)
Sasa nimekukamata, nakatisha uchunguzi wangu Agakhan.
nashindwa kuadmit kosa coz naamini there are things in life u cant confess nafanya hivi kuepuka kumuumiza kivyovyote.![]()
wewe ni mwanamke lakini au sio?.Mie gf/mke/kimada akinidanganya ana mimba, ndio nitolee
Ananitania ili iweje? Sinaga msamaha kwenye mambo siriazi asee
umekua fallen angel tena,whatever happen to Azzy?.nawashukuruni jamani najaribu kupitisha uamuzi now baada ya kuevaluate each and every advice u gave me lol, nitawaletea mrejesho soon
Awww jamani I AM SO HAPPY FOR YOU GIRL,you made the right choice...I hope you people have a wonderful relationship...Best of luck :smile-big::smile-big:NAWASHUKURUNI NYOTE KWA USHAURI WENU NOW NAENDELEA POA NA HUYU MAN WANGU, nimeconfess amenielewa... now mapenzi ni zaidi ya awali, nitarudi tena kuwahabarisha tarehe ya harusi lolest..najiona ka nimezaliwa upya yani
Anakusoma mwenyewe hapa jamii forum, kwahiyo anajua we mwehu wa mwisho katika wehu wengine. Ulivyojua umedanganya kwanini huwenda hospitali kumuweka sawa daktari akutetee? Inaonyesha wewe siyo mke mwema hata baadaye kwa huyo kaka. Fanya unaloweza ushike mimba sasa iwe kweli la sivyo kubali umepoteza bahati.
Hahahaaaaaaaa! WHATEVER YOU NEVER EVER CONFESS!!!!!!!!!!!! Hata akiendelea kuchunguza, DIE FIGHTING!!!!!!!! Ukilogwa ukajikaanga na mafuta yako mwenyewe, HE WILL NEVER EVER TRUST YOU AGAIN!!!!!!!