I'm Azfah, going thru serious misunderstanding wth my boy (im not sure if he still mine lolest)
sometime this yr nlimwambia baby angu kwamba nimenasa while he was outta country for some b'ness, kiukweli i ddnt...ila tu nilitaka kugain ile attention yake coz since asafiri (na hata kabla hajasafiri) aliloose attention on me. basi alipokea suala hilo kwa furaha kubwa, akawa anapanga mambo kibao like meeting my parents, marriage process n living together, above all akaanza kunifeel as somebody very important in his life. Sasa mie nilishajua kwamba si mjamzito na sikudhani kama angelipokea kihivyo ilivyotokea coz mwanzoni nilihisi ananichukulia kama wa kuzugia/kiraka akipata wa kumfit achape lapa.
baada ya kujua siku c nyingi atarudi, nimemwambia mimba imetoka ameshtuka sana. sasa last week karudi akaniuliza nilitibiwa hospitali gani baada ya tukio nimemtajia, cjui kaenda kuchunguza na kukuta hakuna record ya hivyo...so now ananituhumu 100% kwamba nimemdanganya khs mimba na he is so much upset kwakweli napiga 4n yake hapokei, tho mie nimeendelea kukomaa kwamba nilichomwambia ni kweli na hadi navaa mkanda (after birth tummy belt) kumshawishi
nashindwa kuadmit kosa coz naamini there are things in life u cant confess nafanya hivi kuepuka kumuumiza kivyovyote.
Juzi nilifikiria kuachana nae but it was very hard yani hadi nishapoteza na kilo kadhaa...kiukweli ctaki kumpoteza huyu kaka, he means alot kwenye maisha yangu yani namfeel ile mbaya, najihisi mkamilifu na very commfortable nikiwa nae than any person under the sun.
naombeni ushauri what to do plz plz I'm dying
sometime this yr nlimwambia baby angu kwamba nimenasa while he was outta country for some b'ness, kiukweli i ddnt...ila tu nilitaka kugain ile attention yake coz since asafiri (na hata kabla hajasafiri) aliloose attention on me. basi alipokea suala hilo kwa furaha kubwa, akawa anapanga mambo kibao like meeting my parents, marriage process n living together, above all akaanza kunifeel as somebody very important in his life. Sasa mie nilishajua kwamba si mjamzito na sikudhani kama angelipokea kihivyo ilivyotokea coz mwanzoni nilihisi ananichukulia kama wa kuzugia/kiraka akipata wa kumfit achape lapa.
baada ya kujua siku c nyingi atarudi, nimemwambia mimba imetoka ameshtuka sana. sasa last week karudi akaniuliza nilitibiwa hospitali gani baada ya tukio nimemtajia, cjui kaenda kuchunguza na kukuta hakuna record ya hivyo...so now ananituhumu 100% kwamba nimemdanganya khs mimba na he is so much upset kwakweli napiga 4n yake hapokei, tho mie nimeendelea kukomaa kwamba nilichomwambia ni kweli na hadi navaa mkanda (after birth tummy belt) kumshawishi
Juzi nilifikiria kuachana nae but it was very hard yani hadi nishapoteza na kilo kadhaa...kiukweli ctaki kumpoteza huyu kaka, he means alot kwenye maisha yangu yani namfeel ile mbaya, najihisi mkamilifu na very commfortable nikiwa nae than any person under the sun.
naombeni ushauri what to do plz plz I'm dying