ITV washauriwa kumuunga mkono Rais Magufuli

ITV washauriwa kumuunga mkono Rais Magufuli

Peter Dafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
394
Reaction score
272
Aliyasema hayo juzi Ndg Peter Dafi kwa kuwaomba watanzania wote kwa ujumla na Taasisi zote kumuunga mkono Rais ili kufikia malengo chanya.

Tizama Video hapa

 
Last edited by a moderator:
Maelezo na kichwa cha habar ni tofauti.ELIMU,ELIMU,ELIMU
 
Asante sana maana kwa mud mrefu focus imeuwa kwenye migogoro! It is not fair!
n
 
Wenye uwezo wa kuangalia TV ni wachache sana, haina haja ya kuomba akubalike kwenye TV, kazi zake zitambeba.
 
Aliyasema hayo juzi Ndg Peter Dafi kwa kuwaomba watanzania wote kwa ujumla na Taasisi zote kumuunga mkono Rais ili kufikia malengo chanya.

Tizama Video hapa


Huu nao ni aina ya uchonganishi kabisa tena usio na tija..hivi hao ITV wamefanya jambo gani hadi uwape ushauri huo? Ni lini wamempinga Magufuli? Mi nafikiri huu si wakati wa siasa tuache Rais afanye kazi vuzuri na uzuri Rais wetu anaungwa mkono na kila chombo cha habari na wananchi nao wameona...
Tuache kumchonganisha Rais na watu...
 
Last edited by a moderator:
Asante sana maana kwa mud mrefu focus imeuwa kwenye migogoro! It is not fair!
n
Huu nao ni uchonganishi hivi hiyo migogoro ina ukweli au haina ukweli?
 
Kweli kabisa, nakubaliana na maneno ya Peter Dafi wanaompinga Rais Magufuli ndio walewale wabadhirifu.

Wanaoyakataa mapambano haya ya Rais Magufuli hakika ni mafisadi.

Nakubaliana na hoja.

Safi sana Peter Dafi
 
Kuanika ubadhirifu, matatizo ya wananchi ya ardhi, migogoro mbalimbali nk ndo kutomuunga mkono Rais? Acheni unafiki, hakuna asiyejua kazi nzuri ya ITV, upendeleo wa TBC, *tv nk.
Kituo cha tv ambacho ni sauti ya wanyonge inajulikana.
Labda km mmezoea kuishi kwa ujanja ujanja.
 
Tz bado ina wajinga wengi sana, huwezi kuendelea au kujia makosa yako kama kila anae kuzunguka anaishia kukusufia tu. Bila kujua udhaifu wako na udhaifu wa watendaji wako huwezi kupiga hatua.
 
Back
Top Bottom