Nimeona hiyo,ila picha ya ccm ni ile ya uzinduzi
uzinduzi mkutano upi ?mimi nimerekodi taarifa zote ni picha tofauti kabisa huo unaleta bni ushabiki na labda kutoelewa,kuna mkutano kama sikosie ulikuwa wa mbuguni mpiga picha wa itv alizungusha kamera kutoka kwa wazungumzaji kwenye lori mpaka katika umati wa watu tofauti ni kwamba siku ya uzinduzi wazungumzaji waliongelea jukwaani na umati mkubwa ulivaa nguo za kijani lakini katika mikutano hiyo wasikilizaji wanamchanganyiko lakini ukitaka kujua umati wa watu lazima upige picha kwa upana lakini ukweli ni kwamba cdm ndiyo wanaotumia picha za uzinduzi na zingine za zamani tuendelee kufuatilia tutabaini tu