inaweza kuwa hivyo, maana ni Kituo cha muda mrefu, ni sawa na handset miaka ya tisini ziliitwa mobitel, dawa ya kupolishi viatu iliitwa Kiwi, kalamu ya wino iliitwa Biki, hizo ni brand ambazo watumiaji walidhani ni name of products.....hivyo kwa kadri siku zinavyoenda ITV inaonekan ni kituo cha hovyohovyo kuliganisha na vingine vyoote nnchi hii.
wasipokua makini miaka si mingi watu watahamishia mawazo na fikra zao TBC.