Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Wanajamvi.
Muda huu naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Cha kufurahisha ni kuwa mtangazaji ametinga gwanda huku akitoa kipaumbele kwa habari za CHADEMA. M4C Pamoja Daima imeoneshwa kwa upande wa Msoma Dr. Slaa na upande wa Iringa Kamanda Mbowe na Mh. Mdee.
My take: hadi kufikia 2015 vazi la Taifa litakuwa vazi la khaki.
Muda huu naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Cha kufurahisha ni kuwa mtangazaji ametinga gwanda huku akitoa kipaumbele kwa habari za CHADEMA. M4C Pamoja Daima imeoneshwa kwa upande wa Msoma Dr. Slaa na upande wa Iringa Kamanda Mbowe na Mh. Mdee.
My take: hadi kufikia 2015 vazi la Taifa litakuwa vazi la khaki.