ITV na Gwanda la CHADEMA.

ITV na Gwanda la CHADEMA.

Alfred Daud Pigangoma

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2009
Posts
1,833
Reaction score
972
Wanajamvi.

Muda huu naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Cha kufurahisha ni kuwa mtangazaji ametinga gwanda huku akitoa kipaumbele kwa habari za CHADEMA. M4C Pamoja Daima imeoneshwa kwa upande wa Msoma Dr. Slaa na upande wa Iringa Kamanda Mbowe na Mh. Mdee.

My take: hadi kufikia 2015 vazi la Taifa litakuwa vazi la khaki.
 
hata nyerere alilivaa
nape nimeona kalivaa ila la kijani
Nape yuko CCM kimaslahi lakini akili iko chadema au CCJ
baadae litakwa vazi la ukombozi
 
Hiyo ni ishara ya ushindi wa chadema na kila mtu anavyotamani na kuyapenda magwanda ya chadema
 
Wachambuzi wa mambo ya mavazi wanasema kuwa, vazi la TAIFA linapaswa kuja outomatic na sio suala ya watu kukaa kujifungia chumbani na kula posho za bure kubuni vazi. Haya magwanda ni kazi ya Mbowe, mtu mmoja kaleta kitu ambacho kimekuwa ni very influential kwa nchi nzima.
 
Wanajamvi.

Muda huu naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku. Cha kufurahisha ni kuwa mtangazaji ametinga gwanda huku akitoa kipaumbele kwa habari za CHADEMA. M4C Pamoja Daima imeoneshwa kwa upande wa Msoma Dr. Slaa na upande wa Iringa Kamanda Mbowe na Mh. Mdee.

My take: hadi kufikia 2015 vazi la Taifa litakuwa vazi la khaki.

umeongapa mtangazaji hakuvaa khaki pamoja na kuwa naikubali chadema asimia zote.
 
hata nyerere alilivaa
nape nimeona kalivaa ila la kijani
Nape yuko CCM kimaslahi lakini akili iko chadema au CCJ
baadae litakwa vazi la ukombozi

BbhbzKsCAAAz_F5.jpg:large
 
umeongapa mtangazaji hakuvaa khaki pamoja na kuwa naikubali chadema asimia zote.

Kwann kamanda mwenzio katupakulia habari ya uongo, kwa maslahi ya nani, au makamanda wa? kula na kuvimbiwa...
 
Back
Top Bottom