and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
Kwa nn mnaipendelea UKAWA kama vile CCM tena chama tawala hakipo? Hamjui tunaweza kuagiza TCRA mkafungiwa maisha?
Kwa nn mnaipendelea UKAWA kama vile CCM tena chama tawala hakipo? Hamjui tunaweza kuagiza TCRA mkafungiwa maisha?
Wanalilia vitalu vya gesi walionyimwa na Prof Muhongo....na pia babu EL aliwataja na kuwashukuru ITV na Azam....sijui nini kimejificha hapo ila kwa ujumla ataachia mazingira magumu sana ya kazi. Na Tido nae analipiza kisasi cha kuondoka tbc anasahau mkono wa dola...
Ukawa ni makapi tu hamna jipya
Ukawa ni makapi tu hamna jipya
Makapi yako mengi tu kama yalivyoorodheshwa hapa chini:
Nchemba
Wasira
Pinda
Bilal
Mwakyembe
Makongoro
Membe
Mwandosya
Ramadhani
Malecela
Mahiga
Muhongo
Ngeleja
Nyalandu
.......
Tafakari...
Kwa sababu makapi mengi yamebaki ccm nahitimisha kwa kusema CCM ni Chama Cha Makapi.