QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu zangu, Great thinkers,
Juma lililopita nimekuwa nafuatilia kwa karibu taarifa za habari. Kwa miaka sasa huwa naangalia ITV kwa sababu wamekuwa wanabalance habari zao bila kupendelea chama chochote. Ingawaje huwa Mzee mengi anapewa muda zaidi katika habari lakini hilo kwangu si hoja kwa sababu yeye anasaidia jamii na si mwanasiasa wa chama chochote.
Katika juma lililopita habari za ITV zimeanza kusifia CCM karibu kila siku. jana Jumapili nimeona habari zote ni kuhusu CCM na kidogo CUF. Je Mmenunuliwa ka bei gani?
Si muda mrefu tutaacha hata kufuatilia taarifa za habari maana zitakuwa ni zile zile tulizozizoea za TBC. Sasa hivi kinachopendeza TBC ni Mdahalo tu. Halafu pamoja na mdahalo mzuri mliotangaza wiki iliyopita, mengi mazuri yalisemwa kuhusu maendeleo ya nchi hii, Mbona hamjachukua sehemu ya ule mdaharo kutengeneza habari? Au kwa upande wenu hakukuwa na habari pale? Tujuzeni mapema tusielekee kusiko.
Juma lililopita nimekuwa nafuatilia kwa karibu taarifa za habari. Kwa miaka sasa huwa naangalia ITV kwa sababu wamekuwa wanabalance habari zao bila kupendelea chama chochote. Ingawaje huwa Mzee mengi anapewa muda zaidi katika habari lakini hilo kwangu si hoja kwa sababu yeye anasaidia jamii na si mwanasiasa wa chama chochote.
Katika juma lililopita habari za ITV zimeanza kusifia CCM karibu kila siku. jana Jumapili nimeona habari zote ni kuhusu CCM na kidogo CUF. Je Mmenunuliwa ka bei gani?
Si muda mrefu tutaacha hata kufuatilia taarifa za habari maana zitakuwa ni zile zile tulizozizoea za TBC. Sasa hivi kinachopendeza TBC ni Mdahalo tu. Halafu pamoja na mdahalo mzuri mliotangaza wiki iliyopita, mengi mazuri yalisemwa kuhusu maendeleo ya nchi hii, Mbona hamjachukua sehemu ya ule mdaharo kutengeneza habari? Au kwa upande wenu hakukuwa na habari pale? Tujuzeni mapema tusielekee kusiko.