ITV jirekebisheni sasa

ITV jirekebisheni sasa

msigazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
471
Reaction score
351
Habari za leo Wana jf
Nilikuwa napendelea kuangalia Taarifa ya Habari kutoka moja ya makampuni ya ipp media

Lakini wanazidi kunichanganya baada ya kuondoa baadhi ya Habari Kama HABARI ZA KIMATAIFA, HABARI ZA MICHEZO HASA SOKA

Badala yake wameongeza matangazo katikati ya HABARI NA KUWEKA MICHEZO YA NETBALL

Huu Ni uonevu kwa wapenzi wa Habari
Kwasababu Jamiiforum husomwa na watu WENGI
Wapatapo ujumbe wajirekebishe .



Nawakilisha.
 
habari yao zaidi ya habari za kitaifa zinazo fuata ni makorokocho...mfano kunawza kukawa na habari nyingi za michezo au kimataifa au kitaifa ambazo unatamn kuzitazama lakn hata kugusia hakuna huwa sielewi hyo super brandy wanapewaje
 
ITV WAMEKWISHA WAMEKUWA WAHOVYO SNA.ILE TV ZAIDI YA TAIRIFA HAKUNA KI2 PALE.HATA TAARIFA SIKU HZI HAKUNA LOLOTE.WAPO MAMA MOJA NA TBC
 
Super brand watapewa citzen sa hv, wanazingua hawa
 
Mkitaka ITV wajurekebisheni kamtafteni Jamaa Mmoja wa Kikwere dhaifu anaishi Msoga arudi
Mgongoni
 
Umeshawahi sikia chombo hakina taarifa ya kutangaza badala yake kikapiga mziki tu kama BBC kilichowatokea 1830!..Tofauti ITV kimewatokea 2018..
 
How did I miss this!!
Kumbe wamepunguza mambo kwenye lile lisaa limoja la habari, duuh sijaangalia tv kitambo kumbe
 
pia kuna golf Gymkhana
Sasa lawama za nini,? Mmiliki kaamua kujisalimisha, sasa hivi yuko relini na muelekeo ndio huo. Acha lawama angalia channel nyingine mbona zipo nyingi tu tena zenye vitu uvitakavyo?
 
Juzkati ulitokea moto mbagala uliteketeza frame/maduka kama kumi na ulikuwa in moto mkubwa sana duu nikaenda kutega sa2 nione waktangaza aloo sikuskia hata wakiongelea ishu ya moto mpaka apo nikawavua vyeo..
 
Sasa lawama za nini,? Mmiliki kaamua kujisalimisha, sasa hivi yuko relini na muelekeo ndio huo. Acha lawama angalia channel nyingine mbona zipo nyingi tu tena zenye vitu uvitakavyo?
kweli mkuu sasa hivi angalau Azam wana balance
 
Mkuu wewe ndo unatakiwa kujirekebisha sio hao ITV.
Yaani hadi Leo bado unaangalia ITV!!!!? alafu unaambia wajirekebishe badala ya wewe kujirekebisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom