najua umeshukuru lakini huja lizika na comments zilizotolewa: ila nmi naona uha haki kabisa ya kujibiwa lakini pia una haki ya kupata majibu kwa swali ulilouliza.
Ni kweki tetezi hizo zipo kwamba wafanyakazi/wanahabari wa ITV hawalipwi mshahara bali wanapatiwa pesa kidogo kama posho; hii na mimi ilinishangaza nikabaki na maswali mengi ya kujiuliza, kama vile:- inakuaje akina Maulidi, Gamba, Samu na wengineo wanaendelea kung'ang'ania huko ili hali hakuana wanachokipata kama ujira wa kazi wanazofanya??? jibu la swali hili sijalipata bado nalifanyia kazi.
Na kama ni kweli, basi na wao(wafanyakazi) wamelizika basi hatuwezi kuingilia kati lakini kama hawajalizika kuna haja Mamlaka husika kwa misingi ya kusimamia haki za wafanyakazi na kusimamia Sheria za Kazi Nchini kuingilia kati.
Ref- Order: The Regulation of Wages and Terms of Employment Order 2010.