Junior Tata
Member
- Oct 18, 2015
- 18
- 2
Mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo kmoja hapa tz, nilienda nikasajiriwa then nikaomba kuahirisha nikakubaliwa kwa mwaka 1 maanayake ilitakiwa niende 2015/2016, mpaka muda huu nmeshindwa kwenda kwa sababu ya matatzo ya kiafya na sijatoa taarifa.
Je nikienda mwakani ntakubaliwa? barua za kukubaliwa kupostipone ninazo mpaka sasa.
Je nikienda mwakani ntakubaliwa? barua za kukubaliwa kupostipone ninazo mpaka sasa.