rubylove
Senior Member
- Jun 1, 2015
- 127
- 42
Mimi ni msichana nina miaka 22, nilipoanza kusoma kidato cha 1,nilikuwa nakaa na dada angu tumezaliwa baba 1mama1 pamoja na shemeji yangu asa hapo nyumbani alikuja mtoto wa mjomba wake na shemeji yangu, ambae wamechangia babu ila bibi tofauti nae alikuja kusoma. Kadri tulivyokuwa tunakaa ndo tukapendana na tulipendana kwelikweli ila bila ya kujihusisha na ngono na tuliahidiana kwamba mpaka tutakapo maliza masomo yetu tuje tuoane.
Tulipomaliza masomo ya kidato cha nne tulijihusisha na mapenzi na yeye ndio mwanaume wangu wa kwanza( alonitoa bikra.)kwa kweli alinipenda sana na mpaka leo ananipenda sana huo uhusiano wetu ndugu baadae walikuja kugundua ndugu zake wananipenda na wanapenda sisi tuje tuoane.
Ila kwa upande wangu na hasa wazazi wangu hawataki mimi na yeye tuje tuoane na tusitishe mahusiano yetu niliwahi kumwambia mwenzangu tuachane, alilia sana mimi pia nampenda sana na ukizingatia ndo mwanaume wangu wa kwanza tunaruhusiwa kuoana au ni vibaya.? Mawazo yenu tafadhali
Naombeni ushauri wenu
Tulipomaliza masomo ya kidato cha nne tulijihusisha na mapenzi na yeye ndio mwanaume wangu wa kwanza( alonitoa bikra.)kwa kweli alinipenda sana na mpaka leo ananipenda sana huo uhusiano wetu ndugu baadae walikuja kugundua ndugu zake wananipenda na wanapenda sisi tuje tuoane.
Ila kwa upande wangu na hasa wazazi wangu hawataki mimi na yeye tuje tuoane na tusitishe mahusiano yetu niliwahi kumwambia mwenzangu tuachane, alilia sana mimi pia nampenda sana na ukizingatia ndo mwanaume wangu wa kwanza tunaruhusiwa kuoana au ni vibaya.? Mawazo yenu tafadhali
Naombeni ushauri wenu