M Maengo JF-Expert Member Jul 7, 2011 280 29 Aug 4, 2011 #1 Hivi 2015 cdm ikichukua nchi hawa magamba wataishi maisha gani? Mimi nadhani wataikimbia nchi....!
Son of Africa JF-Expert Member Jan 16, 2011 233 31 Aug 4, 2011 #2 Magamba na chadema wote watoto wa mtaa mmoja sidhani kama itakuwa Syria
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 Aug 4, 2011 #3 Wataenda kulelewa ukonga na segerea!!
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Aug 4, 2011 #4 Maengo said: Hivi 2015 cdm ikichukua nchi hawa magamba wataishi maisha gani? Mimi nadhani wataikimbia nchi....! Click to expand... kama KANU
Maengo said: Hivi 2015 cdm ikichukua nchi hawa magamba wataishi maisha gani? Mimi nadhani wataikimbia nchi....! Click to expand... kama KANU