Itakuwa ndoto sana

M Hacker

Member
Joined
May 21, 2021
Posts
56
Reaction score
62
Itakuwa ndoto sana mtu unawaza eti traore angekuwa mtanzania.
Mnahitaji miujiza km Gaddafi au traore wahenga wanasema nabii hakubaliki kwao wapo watu km traore tanzania ila tunawaona takataka wanatuchelewesha nchi ya ahadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…