Itabidi turudi Shule kujifunza Kiingereza

Itabidi turudi Shule kujifunza Kiingereza

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,076
Itabidi turudi shule kujifunza kingereza upya,walisikika baadhi ya watu waliokua kwenye show ya fiesta.

Hii ni baada ya umati mkubwa wa watu waliokuwepo kwenye show hiyo kuambulia patupu nyimbo alizoimba mwanamuziki wa kimarekani,T.I.,wengi wanasema waliambulia niga,mother fu...ker,yeah,bi.tch na kulaumu kwamba wamepoteza hela yao mtu mwenyewe waliemtegemea kaimba kingereza kigumu ile hatari.

Waalimu wa kingereza changamkieni fursa mfundishe kingereza cha T.I.
 
Hahahaha ndio wanavyoongeaga state uku mi pia nikiongea wabongo hawaelewi wanasema naongea sifungui mdomo.

Si kwamba wabongo hawajui kiingereza bali kingereza matamshi yetu baadh ya maneno ni ngumu kuelewa hadi usikilize kwa makini sana.
 
Itabidi turudi shule kujifunza kingereza upya,walisikika baadhi ya watu waliokua kwenye show ya fiesta.

Hii ni baada ya umati mkubwa wa watu waliokuwepo kwenye show hiyo kuambulia patupu nyimbo alizoimba mwanamuziki wa kimarekani,T.I.,wengi wanasema waliambulia niga,mother fu...ker,yeah,bi.tch na kulaumu kwamba wamepoteza hela yao mtu mwenyewe waliemtegemea kaimba kingereza kigumu ile hatari.

Waalimu wa kingereza changamkieni fursa mfundishe kingereza cha T.I.

hao akina T.I wanaongea kiingereza cha mtaani....hata huko US walioenda shule hawaongei kama hao wa mtaani akina T.I na ukisikiliza kiingereza cha mtu alieenda shule hata UK ni rahisi kumuelewa kuliko wale wa mtaani wasiosoma.
 
hao akina T.I wanaongea kiingereza cha mtaani....hata huko US walioenda shule hawaongei kama hao wa mtaani akina T.I na ukisikiliza kiingereza cha mtu alieenda shule hata UK ni rahisi kumuelewa kuliko wale wa mtaani wasiosoma.
mimi kiingereza cha marekani huwa kinanipa shida hata aongee obama
 
Hahaha... Hao waalimu wanaofundisha kiingereza wanatumia 90% ya mda wa kufundisha huku wakiongea kiswahili. Soma vitabu, angalia movie za kimarekani na jitahidi uongee na watu wenye weledi mkubwa kwenye American English.
 
Hahahaha ndio wanavyoongeaga state uku mi pia nikiongea wabongo hawaelewi wanasema naongea sifungui mdomo.

Si kwamba wabongo hawajui kiingereza bali kingereza matamshi yetu baadh ya maneno ni ngumu kuelewa hadi usikilize kwa makini sana.

Hivi na wewe ni mmarekani eeeh??
 
heheh....maajabu hayaishi..''Yaani huyu high school drop out akurudishe darasani ili tu umwelewe!!!!?'
 
KIngereza chetu cha tamthilia za kina mara & clara jana tuliambulia patupu. Ni niga,niga,alikua akisema ladies wote wanaitikia yeah,ni hatari kwa kweli jamani wandugu.
 
heheh....maajabu hayaishi..''Yaani huyu high school drop out akurudishe darasani ili tu umwelewe!!!!?'

Umeniwahi mkuu, we'd rather send back the incompetent to school, or find an alternative way for better reason. Possibly for betterment of the country sio ili watu "wa_party". Yaani ujifunze kiingereza for anasa/starehe?.

Hii ndiyo Tanzania.
 
Hahaha... Hao waalimu wanaofundisha kiingereza wanatumia 90% ya mda wa kufundisha huku wakiongea kiswahili. Soma vitabu, angalia movie za kimarekani na jitahidi uongee na watu wenye weledi mkubwa kwenye American English.

huhuhuh nimecheka.......
 
Back
Top Bottom