Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Nianze kwa ,
Thanks God my health proceedin well .
Kama sikosei kila member ana vyanzo vyake vya ku'produce Thrade.
Kwangu mie hua nazalisha Thrade kufuatia matukio nikumbananayo due my daily activities.
Najua does havin a lot of money really provide anyone with true happiness.
Money it make your life more comfortable with life always bein calmy generally.
It would be enough to make you be able to live more freely enjoyin freedom of bein debt free etc .
But above all money can't solve all of your problems , issues or provide you a fully 100% circumstances .
Leo nilipokua nimekwenda ktk hospitali moja private , nilipofika kwenye chumba cha dawa, nikampa card yangu bi. Dada niliyemkuta akihudumu pale.
Alipoisoma , akaanza kushikashika dawa tofautitofauti , suddenly akaniambia nisubiri, kwa utafiti wangu ulinielekeza hakua na uhakika wa alichokua akitafuta .
Mara akatoka , na akarejea soon na mdada mwingine, kwa mbali nikamsikia yule dada anaekuja nae akimwambia "fanya nawe wende ukasome bwanaa"
Walipofika chumba cha dawa , yule dada aliyeletwa akatoa dawa ambayo yule mdada wa mwanzo aliishika na kuiacha.
Baadae natoka nikakutana na mdada mwingine tena ninaemfahamu anaefanya kazi hapo.
Nikamvuta pembeni kumdadisi kama yule dada mtoa dawa anaifahamu kazi ile .
Akanijibu "yule kajifunzia hapahapa ni shemeji yake na mwenye hospitali"
Ndiyo nikatoka na neno kwamba kwa kutumia pesa waweza kuhonga mwanao akafaulu darasa la 7 , form iv , form 6 , chuo na hata ukahonga akapata Doctor degree na vyeti vya mafamba vyote akawanavyo.
Swali - JE WAWEZA HONGA MWANAO AKAFANYA OPERATION ?
Jibu unalo .
Thanks God my health proceedin well .
Kama sikosei kila member ana vyanzo vyake vya ku'produce Thrade.
Kwangu mie hua nazalisha Thrade kufuatia matukio nikumbananayo due my daily activities.
Najua does havin a lot of money really provide anyone with true happiness.
Money it make your life more comfortable with life always bein calmy generally.
It would be enough to make you be able to live more freely enjoyin freedom of bein debt free etc .
But above all money can't solve all of your problems , issues or provide you a fully 100% circumstances .
Leo nilipokua nimekwenda ktk hospitali moja private , nilipofika kwenye chumba cha dawa, nikampa card yangu bi. Dada niliyemkuta akihudumu pale.
Alipoisoma , akaanza kushikashika dawa tofautitofauti , suddenly akaniambia nisubiri, kwa utafiti wangu ulinielekeza hakua na uhakika wa alichokua akitafuta .
Mara akatoka , na akarejea soon na mdada mwingine, kwa mbali nikamsikia yule dada anaekuja nae akimwambia "fanya nawe wende ukasome bwanaa"
Walipofika chumba cha dawa , yule dada aliyeletwa akatoa dawa ambayo yule mdada wa mwanzo aliishika na kuiacha.
Baadae natoka nikakutana na mdada mwingine tena ninaemfahamu anaefanya kazi hapo.
Nikamvuta pembeni kumdadisi kama yule dada mtoa dawa anaifahamu kazi ile .
Akanijibu "yule kajifunzia hapahapa ni shemeji yake na mwenye hospitali"
Ndiyo nikatoka na neno kwamba kwa kutumia pesa waweza kuhonga mwanao akafaulu darasa la 7 , form iv , form 6 , chuo na hata ukahonga akapata Doctor degree na vyeti vya mafamba vyote akawanavyo.
Swali - JE WAWEZA HONGA MWANAO AKAFANYA OPERATION ?
Jibu unalo .